Wadada: Hela ya salon inauza utu wako

Wadada: Hela ya salon inauza utu wako

Sio kila mwanamke anayekuomba hela anamaanisha, wengine hio ndo njia ya kujutosa maana anajua kabisa akikuomba hela ndo amekukimbiza na hutamsumbua tena..

Ukiona mwanaume anakusumbua na kukuomba papuchi ovyo ovyo we muombe hela tu problem solved
Papuchi nishailaaa sasa me wa kazii ganii...!! Nendaa ajee mwingnee mpenda helaa naee alee kidogoo akafiee mbelee... kufugaa mtuu siweziii
 
Hiyo inatusaidia sana sisi madomo zege, nkiona dem nywele zimefumuka najipendekeza 'hujaenda salun mda mrefu'
 
Inategemea na umri wa huyo msichana unaeanzisha nae mahusiano.

Wapo wale ambao unatongoza leo, anakubali kesho mchana, ikifika usiku anakwambia hana hela ya kula. Hapo unajiuliza nisingejitokeza angepitishaje usiku wa leo.

Wapo wale ambao baada ya wiki mbili kwenye mahusiano anakwambia kuna kiwanja alichukua goba akalipia nusu, bado nusu. Mwenyewe alimuahidi mwezi uliopita sasa hajamlipa, anasumbua huyo honey. Kidume Unajionea dubuli dubuli tu.

Wapo wale ambao kama mnafanya kazi ofisi moja au ofisi za karibu karibu, akishaamua kukubalia ombi lako basi atakuita baby mida ya breakfast na lunch ili umtoe. Mkiachana hapo hata usiku ukipiga simu haipokelewi, na akipokea atakwambia kachoka anaomba apumzike. Baada ya nusu saa ukijaribu kumpigia tena unakuta simu busy. Dah, ngachoka mie.

Kimsingi vyuma vimekaza. Ukiona kidume kinalalamika kwa kuhonga 20,000 ujue hali si hali.

Huu ni ule muda wa wenye visu vyao visivyoisha makali kuwa na mabebezi mingimingi tu tena wale classic wasiopenda za kuchuma wote.
 
Back
Top Bottom