Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,668
Yule anazinguaInna hujamuelewaa!??
Yule anazinguaInna hujamuelewaa!??
Hahahahaaaa yule ananionea tamaa nikiwa na ww, wala usiwe na hofuHebu subiri kwanza,.nayatafakari ya Inna,mazito yale
Kwaiyo ndo ushanitupaHahahahaaaa yule ananionea tamaa nikiwa na ww, wala usiwe na hofu

Watakwambia subir mwisho wa mwezi fix kila sikuduh kuna wasumbufu flani, ngoja niwaombe hela kila mmoja laki tatu
Wote wawili nitawahimiliKwaiyo ndo ushanitupa![]()
Acha tamaaa....mumu usimkubali huyuWote wawili nitawahimili
Acha basi kunihalibia, kwahyo unataka ufaidi mwenyewe?Acha tamaaa....mumu usimkubali huyu
Timiza bas kwanza ile ahadi alafu sitakuharibiaAcha basi kunihalibia, kwahyo unataka ufaidi mwenyewe?
Wasiwasi ndio akiliii atiiHahahahaaaa yule ananionea tamaa nikiwa na ww, wala usiwe na hofu
Njoo geto uchukueTimiza bas kwanza ile ahadi alafu sitakuharibia
Acha kumsikiliza yule, Njoo pm tuyajengeWasiwasi ndio akiliii atii
Papuchi nishailaaa sasa me wa kazii ganii...!! Nendaa ajee mwingnee mpenda helaa naee alee kidogoo akafiee mbelee... kufugaa mtuu siweziiiSio kila mwanamke anayekuomba hela anamaanisha, wengine hio ndo njia ya kujutosa maana anajua kabisa akikuomba hela ndo amekukimbiza na hutamsumbua tena..
Ukiona mwanaume anakusumbua na kukuomba papuchi ovyo ovyo we muombe hela tuproblem solved
Hahahaa,sasa aje ghetto kufanya nn sasa mjr lakiniiii lolAcha kumsikiliza yule, Njoo pm tuyajenge
Weeee elimu ipi hii ya bongo, njoo mitaa yetu hao wenye kazi zao ndo wanaongoza kwa vizinga vya chips, chai, ela ya kusuka n. KWenye elimu hawapigi mizinga?
Kuna ishu anaitajia ndio maana nikamwambia aje gheto achukueHahahaa,sasa aje ghetto kufanya nn sasa mjr lakiniiii lol