usishangae hata wewe ni kichwa maji wa mtuHao unaowapata vichwa maji ndo size yako labda

Kwahyo ww huna tabia hizo?Hao unaowapata vichwa maji ndo size yako labda
Habari yako Dada, nakusalimu jamaniHaaahaha pole kwa kizinga cha 20 mkuu,.ujue kuna sura ukikutana nazo tuu unajua hizi sura za vizinga hizi,unazipotezeaa usisubiri wakuharibie siku,..ila daah vizinga sio wala nn,namm ntaleta humu Uzi wa kupigwa vizinga na wanaojiita WANAUME hahahaaa naona niwakati sasa wa kutoana droo sio kila siku wadada tuu kuna wakaka/wababa nao wana hii tabia,....Uzi uko njiani.
Hahaa kibomu cha 20 mzee kimekutibua..
usitongoze mdada anaekukera akiomba hela...
tongoza mdada ambae unasubiri kabisa akuombe hela...
maisha mipango...ukiona bajeti zako haziendi na mtu anza wewe kum block..
Hao unaowapata vichwa maji ndo size yako labda
We unafamilia Mchepuko wa nini mkuu baki njia kuu.
Sio kila mwanamke anayekuomba hela anamaanisha, wengine hio ndo njia ya kujutosa maana anajua kabisa akikuomba hela ndo amekukimbiza na hutamsumbua tena..Mzeee unanisema mimi hapoo...!! Kuna manzi nimempotezeaa juzi tu hapaa...kizinga cha elfu 20 sitakagii ujingaaa

problem solvedOh,nzuri jamanii mambo yako!?Habari yako Dada, nakusalimu jamani
Problem solved kabisaaaSio kila mwanamke anayekuomba hela anamaanisha, wengine hio ndo njia ya kujutosa maana anajua kabisa akikuomba hela ndo amekukimbiza na hutamsumbua tena..
Ukiona mwanaume anakusumbua na kukuomba papuchi ovyo ovyo we muombe hela tuproblem solved
Jamanii ni poa. Huyo kwa picha ndio wwOh,nzuri jamanii mambo yako!?
Teh teh tehHao unaowapata vichwa maji ndo size yako labda
Hahahaaa. Ujue sio wote wanalijua hilo my dear. Yaani mtu akishapata mpenzi basi hapo anapiga mahesabu kwamba ameshapata mtu wa kumaliza shida zake ndogo ndogo.Haaahaha pole kwa kizinga cha 20 mkuu,.ujue kuna sura ukikutana nazo tuu unajua hizi sura za vizinga hizi,unazipotezeaa usisubiri wakuharibie siku,..ila daah vizinga sio wala nn,namm ntaleta humu Uzi wa kupigwa vizinga na wanaojiita WANAUME hahahaaa naona niwakati sasa wa kutoana droo sio kila siku wadada tuu kuna wakaka/wababa nao wana hii tabia,....Uzi uko njiani.
Mambo niaje mdada?Hahahaaa. Ujue sio wote wanalijua hilo my dear. Yaani mtu akishapata mpenzi basi hapo anapiga mahesabu kwamba ameshapata mtu wa kumaliza shida zake ndogo ndogo.
Ila saa nyingine wanawalaumu wanawake bure sababu kama kila wakiombwa wanawapa halafu malalamiko hayo hawamwambii mhusika yaani analalamikia pembeni unadhani hapo ataacha kuombwa kweli.
Wa kufanya hili jambo liishe ni hao watoaji.