Wadada: Hela ya salon inauza utu wako

Wadada: Hela ya salon inauza utu wako

Usawa unabana tu mkuu ila sitegemei kama ungekuwa mambo safi mtoto mzuri akuombe 20 elfu uje kumuanzishia Uzi huku jf..
Wakati mwingine kama huna kitu bora uuchune tu ujifanye huna makuu..

Kwa mtini jifunzeni
 
UMESAHAU HELA YA KIKOBA, KUNA BINTI MKE WA MTU KABISA, THEN MREMBO WA HAJA.

KILA WIKI ALIKUWA ANAKUJA GHETO KUCHUKUA ELFU 15 YA KIKOBA, KWA HYO AKIJA ANANIPA KILA NACHOHTAJI MWILINI MWAKE AKAWA ANANIPENDA MNO ETI KISA HELA YA KIKOBA? DAH.. KWA HYO JMOS NA JPILI IKAWA SIKU ZA MIMI KUTAFUNA NYAMA, NILIDUMU NAYE MIEZI 6, NKAMDUMP BAADA YA KUHAMA MJI.
 
Akamuombe babaake mpuuzi nininkuomba omba hela kizembezembe bila sababu za msingi ana wazimu nini. Simind hizo mambo za kuombwa hela naweza kukutia makofi shenzi kabisa. Nina hasira na huyo fala kama kaniomba mimi eti 20 ya saluni mkichaa kabusa huyo. Leta matatizo una enda msibani tena awe amkufa babako au mamako siyo mtoto wa shangazi sijui bibi..sikuelewi. sema unaumwa tena magonjwa makubwa moyo umepasuka sijui kizazi kina maji etc siyo unaumwa mafua tu unaomba ela ya dawa eti kuna dawa nzuri za mafua zinauzwa 15000.Shetani wewe unaijua hela wewe pambaaaaaaaafu kabisa.
Mkuu ungemuweka makofi anataka pesa kwa sababu za kijinga.
 
Sio kila mwanamke anayekuomba hela anamaanisha, wengine hio ndo njia ya kujutosa maana anajua kabisa akikuomba hela ndo amekukimbiza na hutamsumbua tena..

Ukiona mwanaume anakusumbua na kukuomba papuchi ovyo ovyo we muombe hela tu problem solved
duh kuna wasumbufu flani, ngoja niwaombe hela kila mmoja laki tatu
 
Back
Top Bottom