Wadada: Hela ya salon inauza utu wako

Wadada: Hela ya salon inauza utu wako

Hahahaaa. Ujue sio wote wanalijua hilo my dear. Yaani mtu akishapata mpenzi basi hapo anapiga mahesabu kwamba ameshapata mtu wa kumaliza shida zake ndogo ndogo.

Ila saa nyingine wanawalaumu wanawake bure sababu kama kila wakiombwa wanawapa halafu malalamiko hayo hawamwambii mhusika yaani analalamikia pembeni unadhani hapo ataacha kuombwa kweli.

Wa kufanya hili jambo liishe ni hao watoaji.
Wanakuja kutulalamikia sisi badala ya kuwaambia wahusika wao ukweli,hawajui humu tumawashangaa sometimes eti shogaangu kimtazamo tuu sisi tumekaa kuombaomba kweli
 
Yaani 20 imekutoa roho je ungeobwa laki? Uwiiiii rudi kwa mkeo upumzike
 
Wanakuja kutulalamikia sisi badala ya kuwaambia wahusika wao ukweli,hawajui humu tumawashangaa sometimes eti shogaangu kimtazamo tuu sisi tumekaa kuombaomba kweli

Hahahaaa. Hata hatujakaa kuomba omba kwa kweli.

Nawashangaa ujue kama wana malalamiko wawalamikie hao wanaowaomba huko huko ili kukomesha hiyo tabia kama wanaiona haifai.
 
Hahahaaa...
Mkuu ukiwa na mwanamke zaidi ya miezi sita ajakuomba ela muache...
Hapo haupo peke yako mzee, USIONE VINAELEA VUMEUNDWAA
 
Wengi wao ndio hivyo Mkuu..! We bandua sepa zako maana utajipa stress bure..!
 
Back
Top Bottom