Aha Aha Aha Mdada Gan Asiyependa Mwanaume Mwenye Pesa Sasa Hv Ukiwa Hauna Pesa Ujue Utakuwa Wa Mwisho Siku Zote Watakufanya Spare Tail Mamawee 2na Malizwa
Mimi nina vigezo vyote ulivyovitaja hapo; na sina pesa; ila mtoto wa kike kashindwa kuvumilia na kunitamkia kuwa ananipenda sana, na anashindwa kuzuia hisia zake kwangu; na mimi ninampenda, tunapendana.
hatuangalii pesa bwana ila awe anakipato cha kutosha kukidhi mahitaji na sio maisha ya kubaingiza, mfano me kigezo changu ilikuwa ni lazma uwe na degree japo moja na uwe na kazi haijalisha mshahara ni kiasi gani
Kwani kitendo si nikile kile, tofauti imeletwa na wamishionari na waraabu tu. Enzi hizo wazee wetu walikuwa wanachukuana tu kama ambavyo mdau alivyokuwa anakuita hivi punde humu.
Kwani kitendo si nikile kile, tofauti imeletwa na wamishionari na waraabu tu. Enzi hizo wazee wetu walikuwa wanachukuana tu kama ambavyo mdau alivyokuwa anakuita hivi punde humu.
hahaahahahaha pesa hatuwezi kuiweka bayana kama kigezo
kwasababu hicho kigezo chajionyesha wazi kama unazo au lah
muonekano wako utajionyesha kama zipo au lah