Wadada ambao ndoa bado

Sikila unacho amini nisahihi unapotoka nyumba au mtandaoni unaweza kupata wakwako chamsingi niumakini tu hata cc kunaakina mama kwenye mitandao nimatapeli balala
Naona unatia saund mjomba,hahahaha
 
Nahitaji mtu mwenye vision ili tuweze kujenga financial stability tukiwa pamoja
Mtu mwenye vision utamjuaje akat hata salam tuu mnabinua midomo.namba ndo hamtoi kabsaa,au had nivae nipendeze etc,..na ndomana sis tunaolifaham hlo kua kupendeza na kungaa na gar ndio vision ya wadada hua tunawagonga sana nyie.
 
Nataka katoto smart,,, tumeshatombana vyakutosha
Hahaha,..kwan jamaa akitoa znatoka nanii au upepo...au ndo full kinga,..yan umeshindwa hata kumtegeshea ,dada angu ni muda sasa wa kuchanganya na za kwako
 
Ukishajiona unaangali mwanaume wa 40+ ujue ushashindwa pambano dada
 
Hahaha,..kwan jamaa akitoa znatoka nanii au upepo...au ndo full kinga,..yan umeshindwa hata kumtegeshea ,dada angu ni muda sasa wa kuchanganya na za kwako
At first,,,, We didn't plan... Inapendeza sana kila mmoja akiwa tayari na si kulazimisha au kutegesheana.. Pia tulipeana muda wa kuchunguzana ipasavyo kila mmoja aingie ndoani akiwa ameridhia thou gemu as usual...

Ni mambo ya umakini na kalenda tu I don't use any kinga

Pia uzuri ashanambia if it happens no problem and I believe in him.. Ila I just want him to be aware..

Cc Smart911
 
Mapenzi Yanaendana Na Umri Sasa Nyie Mnaotukataa Wapiga Debe Imekula Kwenu
 

Umeanza vizuri, umeharibu mwisho hapo
 
kuna binti nilimpenda kwa dhati nimetongoza miaka miwili bila hata jibu la matumaini.Nilikuja kumuacha alivo nitamkia haya; "hivi wewe una uwezo wa kunitunza?;una hadhi yangu wewe?,kwa ela ipi ulo nayo?katongoze huko vijijini we sio type yangu"..

Ni kweli nilikua na maisha ya kawaida sana ila niliendelea ku jenga future yangu kwa ku fight na kua na nizamu ya pesa.
Alikua anapenda sana maisha ya juu.Baada ya miaka mitano nimekuja kutana nae ana watoto wawili na kanenepeana kuliko hata shilole.Siku nakutana nae nilikua na girlfriend wangu mzuri tuu sana (namsifia kweli kaumbwa) nikamtambulisha hapo hapo..Eti anasema nime muumiza kwa kumuonyesha wifi yake..Ata sina muda wa kumjibu
 
Sijaelewa kitu ila nafikiri sababu mimi ni mwanaume, jainihusu!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…