Wadada ambao ndoa bado

Wadada ambao ndoa bado

Rebeca 83

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2016
Posts
15,475
Reaction score
33,038
wadada ukivuka miaka ya kuolewa,its predicted utachukua mtu sio wa saizi yako

nilijua ni msemo tu wa mtaani,kumbe kweli,

ni hivi....

tunapofanya mate selection,tunaexchange values...

vipi kila mmoja,ni vigezo gani anavileta mezani....

sasa hapo ndipo tunapodiffer...

wanawake tuna prefer mwanaume financially stable😎😎😎 na intelligent

wanaume wanaprefer wanawake wadogo kushinda wao na physically attractive

hivyo tunatrade kny soko la wachumba,lol...

hizi choices ziko essential kwenye reproduction,

its adaptive,

Men choose younger women as they are capable of producing offsprings that they want.....(najua mtanibishia ila ukweli ndio huo)😵😵

And women choose men who are financially established as they want to have confidence that their children will survive as he will provide for them/their protection......

Sasa basi,ukiwa msichana mdogo,uko kwenye reproduction peak utafuatwa na wengi,as you go slowly towards menopause value yako inashuka taratibu....😛😛😛😛😀😀😀😀....
 
hatuwezi kupingana na nature mkuu,na haya niliyosema hayata apply kwa kila mtu,mimi mwenyewe niko 30's bado sijaolewa,lol nahisi tunatakiwa tu compromise kidogo,hakuna mtu mkamilifu,usiwe choosy mkuu kantwe
Mimi sio mchaguaji sana ila vigezo na masharti kuzingatiwa kuna watu watasema sentensi yangu inajicontradict waambie sio lazima waelewe kila kitu
 
hatuwezi kupingana na nature mkuu,na haya niliyosema hayata apply kwa kila mtu,mimi mwenyewe niko 30's bado sijaolewa,lol nahisi tunatakiwa tu compromise kidogo,hakuna mtu mkamilifu,usiwe choosy mkuu kantwe
Nina 22 Nitafaa?? im inteligent but soon ntakuwa stable Financialy!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom