Nilikutana na mdada mmoja kwa social media....,akadai anasoma Dodoma ila makazi ni Mwanza.....Sijakaa sawa akaniambia amefiwa na baba aliyekuwa anamlipa huduma za chuo...,kwa hiyo nimsaidie nauli&malipo mengine.....,Nikamwambia nipo bush kusiko na bank wala mobile....
,akakubali....
Akaja Dodoma....,nikaonana naye...,nikamuibukia geto kufika kule wako wawili na huyo rafiki hataki kutoka......,Nikarudi kapa.
Nikapanga kukutana naye Weekend....,Kabla ya Weekend hiyo kufika nikapata ujumbe kuwa ana birthdei siku ya Ijumaa....,Kama naweza kumsaidia laki na nusu....
NIKAMWAMBIA AZIMA KWA RAFIKI ZAKO.....,Ukija Weekend na kutoa mzigo nitakurudisha izo hela.....
THE SAME DAY....SHE BLOCKED ME Kwenye social network zoote .


Wadada...,tumewashtukia....,Siku hizi hatutoa bila kukagua mzigo....