Wadada above 30

heshimu mawazo ya watu changia hoja sio kutaja taja majina hapa. Nimo kati ya uliowata nipo JF ktambo sana, id mpya ya mambo mapya isikubabaishe. Otherwise, anzisha uzi wako mkaitaine hukooo. Mnakera sana, ptuuu!
Samahani kama nimekuwaza. Ni upepo tu:confused2:
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
epitapy fwwiunashndapkazn youmtaaniada waache

Kuna wengine hawaolewi kwa bahat mbaya bt wengine wanajitakia
1. Background: wanaume wengi wanapenda mwanamke asiye na skendo, ss km mtaani alitembea hadi na vkongwe na wanaume km dem kmeo tunaambiana. Kzin kwako maboc wote wamepita na ww unashnda kazn na mtaani, nan atzkuposa? Labda trafki unaepshana na kgali chako cha mkopo.
2. Kuchagua wanaume ukijiona wewe ni matawi ya juu.
Mwanamke km hana hayo hapo juu lazma aolewe
 
hahahha limeshakuwa janga la kitaifa... hawa wanapaswa kuwekwa kwenye kundi lao maalumu, wapewe na basic needs itawasaidia sana hasa kuondoa msongo wa mawazo maishani mwao *nukta*

yupo m1 ana km 35 yrs, hapa ofisini, jn kanibwatiza bila ht sababu! nimemuangalia tu!
 
kuna raha yake kuolewa ukiwa below 30,kwakua kuna hofu iliyokusukuma kufungua uzi huu wakujipa matumaini ya kumpata umtakaye,endelea kumsubiri huyo mume mwema pasipo kuchukua jukumu la kumuandaa mumeo umtakaye kwa mikono yako.
 
Hawajui tu. Wadada 28+ ndio mpango mzima, huwa nashangaa mwanaume uko 32+ unadate vitoto vya 25-. Wawaache na hao wadada watulizane coz nao huanza kupaniki sana wakifika umri huo.

25- bado utamu upo, nyi zenu zisha ota sugu
 

Umri reasonable kwa mwanamke ni 25 na isizidi 30, kwako naona ni maneno ya mkosaji, unawashauri wadogo zako vbaya ili wawe km wewe. 30+ amechelewa na anaweza kuolewa na walofiwa na wake zao.
 
Ish....kwani haiwezekani?? Na suala sio husband material maana the term is subjective....suala ni kwamba unampenda??? Anaweza kuwa ni kijana mzuri tu lakini hujampenda na msingi wa ndoa ni upendo

Ni kweli dada nakubaliana na wewe had umpende na km ndo hana chengi basi hata km ulikua unampenda utaanza kumuona lonya. Sasa subiri utakaye mpenda had K itoke mvi
 
Hivi wewe ni mwalimu?

 
nimekuwa na wanaume sema tu sijampata 'potential candidate',,,,,wa kuwa mume wangu ambaye tutakuwa compartible in bed,na baba bora wa familia yangu...

Ngoja nikusaidie dada, watu tumelelewa mazingira tofauti hatuwezi kuwa compartible, cha muhimu ni kuelekezana, kufundishana na kueleza hisia zako zikoje km kina tatizo mnaenda kwa wataalam mwisho mnakkua vzr mnaoana. Co unakaa hapo unasubiri compatibility utachina. Mwisho na mm nicje nkakupitia bure
 
Hao ni watu wasiotaka kupiga vituz, subutu, wewe uwe mseja? Hakika Songay Empire itahamia Rome.

Hata mlima kilimanjaro uhamie Kigoma, babu ataendelea kuniita mseja.
Wewe sio mseja?
 

Hahahaha nmecheka sana. Wanawake wa namna hii wanaishia kuwaibia wenzao wanaume. Pigeni punyeto pumbafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…