h120
JF-Expert Member
- Jan 10, 2012
- 2,532
- 3,316
Habari wana JF, utitiri wa makanisa kila kukicha unatisha, Leo hii kanisa linageuzwa ni eneo la uwekezaji sijui ndo ugumu wa maisha au Ujanja wa mjini.
Wenye kuweza tazameni hii video ya ushuhuda wa wachungaji feki, wajanja wajanja a.k.a watoto wa mujini. Binafsi haya makanisa yanayoibuka kama uyoga sina imani nayo kabisa, Maskini waumini mnadanganywa na kuamini. Kwa kifupi mnaibiwa.
<a href="http://youtu.be/EdYL-IxjXfU" target="_blank">
Wenye kuweza tazameni hii video ya ushuhuda wa wachungaji feki, wajanja wajanja a.k.a watoto wa mujini. Binafsi haya makanisa yanayoibuka kama uyoga sina imani nayo kabisa, Maskini waumini mnadanganywa na kuamini. Kwa kifupi mnaibiwa.
<a href="http://youtu.be/EdYL-IxjXfU" target="_blank">
Last edited by a moderator: