Wachungaji mliopo humu nisaidieni

Wachungaji mliopo humu nisaidieni

Mi mwenyewe nimechoka kuchepuka..inaonekana mimi na wewe tukioana tutatulia maana tutapeana hamasa ya kutulia kwani tushachepuka sana...ni PM tutulizane mwaya.
 
afu bado hujaolewa. sasa maskini unakutana na mie ndo kwanza nimeishi kimbingunimbinguni ujana wangu wote mara nakutana na princess21 duh, na watu wa hivi kwa kuigiza pindi wanaposaka mme utazani ametoroka utawani.
 
Wapendwa nisaidieni jamani maana mi nasema ukweli, natamani nisaidiwe ili nipone kwenye hili linalonisumbua.

Kiukweli sipendi kuchepuka, ila napenda sana maisha flani ambayo bila mchepuko siwezi yapata. Napenda extra sex, niliyonayo imenichosha nainjoy nikipata ladha mpya.

Nimefika mwisho wa kuchepuka, 16 good years nimekua kwenye aina tofauti tofauti za mahusiano.

Nimechokaaaaa, nataka nitulie sasa nifanyeje?
Njoo pm nikusaidie
 
Wapendwa nisaidieni jamani maana mi nasema ukweli, natamani nisaidiwe ili nipone kwenye hili linalonisumbua.

Kiukweli sipendi kuchepuka, ila napenda sana maisha flani ambayo bila mchepuko siwezi yapata. Napenda extra sex, niliyonayo imenichosha nainjoy nikipata ladha mpya.

Nimefika mwisho wa kuchepuka, 16 good years nimekua kwenye aina tofauti tofauti za mahusiano.

Nimechokaaaaa, nataka nitulie sasa nifanyeje?
Mmmh... Kwa maana umeamua kuacha unaweza. Jaribu kuwa mbunifu ktk mahusiano na huyo ulie nae,sex sio ndio kila kitu ktk relation. Also think about after life mda wote ambao vishawishi vinakuja. Fikiria kuhusu kifo mda utapata reason to hold on.
 
Mimi si Mchungaji lakini naweza kukuambia kitu. Kwa nini ukiwa na mtu mwingine unafurahia lakini ukirudi kwani hufurahii? Huo ni ugonjwa. Yaani umekuwa "addicted" na michepuko na unadhani huwezi kuacha. Umekuwa "mtumwa" wa mambo.

Ufanye nini sasa? Una mambo mawili ya kuanza nayo. Kwanza zungumza tatizo lako na mwenzako. Mweleze kuwa hufurahii tendo la ndoa. Karibu kusuggest mbinu mpya (kama zile unazoridhika nazo kwa wengine). Hapa kuwa mwangalifu sana usije ukamlinganisha mtu wako na michepuko. Utazua bonge la balaa! Karibu pia kupendekeza kwenda mazingira tofauti, au chumba tofauti kama hali ya uchumi inaruhusu.

Jambo la pili unalotakiwa kufanya ni kwenda kwa mshauri nasaha wa mambo ya ndoa au mahusiano ya namna hii. Anza kwenda peke yako, eleza tatizo lako kwa uwazi na kwa uhuru. Naamini utapata ushauri nasaha ambao utakufaa. Hapa niseme kuwa inaweza kukutana na mshauri nasaha kwa zaidi ya mara moja. Kwa hiyo jiandae vema.

Mwisho, nisisitize kuwa huo ni ugonjwa. Fanya hima kuchukua hatua.
 
Mimi si Mchungaji lakini naweza kukuambia kitu. Kwa nini ukiwa na mtu mwingine unafurahia lakini ukirudi kwani hufurahii? Huo ni ugonjwa. Yaani umekuwa "addicted" na michepuko na unadhani huwezi kuacha. Umekuwa "mtumwa" wa mambo.

Ufanye nini sasa? Una mambo mawili ya kuanza nayo. Kwanza zungumza tatizo lako na mwenzako. Mweleze kuwa hufurahii tendo la ndoa. Karibu kusuggest mbinu mpya (kama zile unazoridhika nazo kwa wengine). Hapa kuwa mwangalifu sana usije ukamlinganisha mtu wako na michepuko. Utazua bonge la balaa! Karibu pia kupendekeza kwenda mazingira tofauti, au chumba tofauti kama hali ya uchumi inaruhusu.

Jambo la pili unalotakiwa kufanya ni kwenda kwa mshauri nasaha wa mambo ya ndoa au mahusiano ya namna hii. Anza kwenda peke yako, eleza tatizo lako kwa uwazi na kwa uhuru. Naamini utapata ushauri nasaha ambao utakufaa. Hapa niseme kuwa inaweza kukutana na mshauri nasaha kwa zaidi ya mara moja. Kwa hiyo jiandae vema.

Mwisho, nisisitize kuwa huo ni ugonjwa. Fanya hima kuchukua hatua.
Ahsante rafiki
 
kuna wakati mtu unajiuliza kwanini ni ngumu kumpata mpenzi ambaye mna-match? unakuta mwanaume kicheche ama alikua kicheche anakuja kuoa kadada ka watu hata kupanua miguu hakajajua.
mdada ameshagegedwa hadi na vibabu anaparamia mkaka hajawahi hata kuona kyupi ya mwanamke!
Hili nalo neno
 
Hili nalo neno
he hee patamu wakutane wote ni wakongwe wa fani na wana hamu isiyoisha, mdada amechezea kila mwichi mpaka hata akigegedwa gizani atakutajia kabila la mgegedaji. mme nae amezifanya za kila size na kila ladha. sasa humo ndani sijui patakalikaje. 😉😉😉😉😉😉 porn industry!
😛😛😛
 
Stay alone... Eneo lililotulia... Ask ua heart honestly.. Km bdo unapenda extra, uulize km hauwezi kuishi bila extra, uulize km utakosa amani bila extra, uulize km utakosa ucngzi bila extra, uulize km extra ni kitu pekee kinachokupa faraja na amani ya dhati.. Hebu uulize km bila extra moyo wako utashindwa kusukuma damu ktk sehemu za mwili wako.... Then th answer tht t will give you.. Juc take t wth no doubt.. Remember Fate is somethng needed to be established all by one self.. Take care
 
Yaan mpaka umeamua kuyasema ujue umekubuhu uwezi acha kirahisi hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom