Wachungaji mliopo humu nisaidieni

Wachungaji mliopo humu nisaidieni

Princess21

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2015
Posts
272
Reaction score
266
Wapendwa nisaidieni jamani maana mi nasema ukweli, natamani nisaidiwe ili nipone kwenye hili linalonisumbua.

Kiukweli sipendi kuchepuka, ila napenda sana maisha flani ambayo bila mchepuko siwezi yapata. Napenda extra sex, niliyonayo imenichosha nainjoy nikipata ladha mpya.

Nimefika mwisho wa kuchepuka, 16 good years nimekua kwenye aina tofauti tofauti za mahusiano.

Nimechokaaaaa, nataka nitulie sasa nifanyeje?
 
Endelea kuchepuka tu kwa hali uliyonayo ww haiwezekani kuacha. Km mlevi wa pombe damu imechanganyikana na pombe.
Hapo bibie ww haiwezekani. Tangia lini mzinzi akaacha ngono? Endelea kuchepuka
 
Endelea kuchepuka tu kwa hali uliyonayo ww haiwezekani kuacha. Km mlevi wa pombe damu imechanganyikana na pombe.
Hapo bibie ww haiwezekani. Tangia lini mzinzi akaacha ngono? Endelea kuchepuka
Haya ahsante
 
Endelea kuchepuka tu kwa hali uliyonayo ww haiwezekani kuacha. Km mlevi wa pombe damu imechanganyikana na pombe.
Hapo bibie ww haiwezekani. Tangia lini mzinzi akaacha ngono? Endelea kuchepuka
Hivi uzinzi ni pepo???? Maana ukitaka kuacha uwiii nkiona ata mtu anabembelezwa au ana sex kwenye movie yaani situliiii
 
Wapendwa nisaidieni jamani maana mi nasema ukweli, natamani nisaidiwe ili nipone kwenye hili linalonisumbua.

Kiukweli sipendi kuchepuka, ila napenda sana maisha flani ambayo bila mchepuko siwezi yapata. Napenda extra sex, niliyonayo imenichosha nainjoy nikipata ladha mpya.

Nimefika mwisho wa kuchepuka, 16 good years nimekua kwenye aina tofauti tofauti za mahusiano.

Nimechokaaaaa, nataka nitulie sasa nifanyeje?
Tulia sasa
 
Wapendwa nisaidieni jamani maana mi nasema ukweli, natamani nisaidiwe ili nipone kwenye hili linalonisumbua.

Kiukweli sipendi kuchepuka, ila napenda sana maisha flani ambayo bila mchepuko siwezi yapata. Napenda extra sex, niliyonayo imenichosha nainjoy nikipata ladha mpya.

Nimefika mwisho wa kuchepuka, 16 good years nimekua kwenye aina tofauti tofauti za mahusiano.

Nimechokaaaaa, nataka nitulie sasa nifanyeje?
Tubu umwamini Bwana Yesu atakuokoa na tabia iyo
 
Wapendwa nisaidieni jamani maana mi nasema ukweli, natamani nisaidiwe ili nipone kwenye hili linalonisumbua.

Kiukweli sipendi kuchepuka, ila napenda sana maisha flani ambayo bila mchepuko siwezi yapata. Napenda extra sex, niliyonayo imenichosha nainjoy nikipata ladha mpya.

Nimefika mwisho wa kuchepuka, 16 good years nimekua kwenye aina tofauti tofauti za mahusiano.

Nimechokaaaaa, nataka nitulie sasa nifanyeje?
Sasa we mrembo naona unataka kuliwa kabang,maana wachungaji siku hizi wamegeuza kibao,yaani ni tigo kwa kwenda mbele,ukijaribu tu kumuomba msaada mchungaji basi usicheze mbali na KY.
 
extra sex mimi nilijua unahitaji mshugulishaji mwenye uwezo wa kukukuna vilivyo.
 
Kipepo toookaaaaa

Shindwa na ulegee

Mchungaji Iceman nsha kuombea
Ukitaka maombi zaid ni Pm
 
Hivi uzinzi ni pepo???? Maana ukitaka kuacha uwiii nkiona ata mtu anabembelezwa au ana sex kwenye movie yaani situliiii
Mtasisingizia na mapepo bure, kumbe pepo ni wewe mwenyewe. Endelea tu kufunuliwa, uchi ni wako, hakuna unaemkomoa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom