Wachungaji mliopo humu nisaidieni

Wachungaji mliopo humu nisaidieni

Sasa we mrembo naona unataka kuliwa kabang,maana wachungaji siku hizi wamegeuza kibao,yaani ni tigo kwa kwenda mbele,ukijaribu tu kumuomba msaada mchungaji basi usicheze mbali na KY.
Uwiiiiii
 
Huyo mchungaji awe na moyo kweli huo mkao kwenye avatar na hayo maombi baada ya kupaa nao mkono utashuka huko kwenye nyau. Nani kasema mchungaji hawapendi utamu?
 
Soma 1 Wakorintho 6:18 inasomeka hivi [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
"Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe."
Kuikimbia zinaa maana ni kuepuka mazingira yote ambayo yatakufanya uepuke kufanya uzinzi, kumbuka uzinzi si kitendo bali uzinzi ni uko kwenye mind set ya mtu. Maana yake ni kwamba tendo la zinaa hukamilika tu pale anapowaza kufanya uzinzi na si lazima kitendo kikamilike. Soma Mathayo 5:27-28 ambayo inasomeka hivi [emoji117] Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini; lakini mimi nawaambia, Kila mtu atazamaye mwanamke kwa kumtamani, amekwisha kuzini naye moyoni mwake.
Kwa hiyo umtazamapo mwanamke na kufikia hatua kumvua ngua katika fikra zako, yaani ikafikia hatua ya kupanga jinsi namna ya kulala hapo tunasema zinaa inakuwa imekamilika hata kama kile kitendo cha kulala pamoja hakitafanyika.
Kuikimbia zinaa kwa maana rahisi ni kuepuka mambo yote yanayoamsha hisia za kufanya mapenzi, au mambo yanayopelekea kukufanya uwezo kufanya ngono. Mambo hayo yaweza kuwa ni filamu, picha, simulizi za mapenzi, mazingira ambayo watu huvaa nusu uchi au uchi mfano beach night club nakadhalika
 
Wapendwa nisaidieni jamani maana mi nasema ukweli, natamani nisaidiwe ili nipone kwenye hili linalonisumbua.

Kiukweli sipendi kuchepuka, ila napenda sana maisha flani ambayo bila mchepuko siwezi yapata. Napenda extra sex, niliyonayo imenichosha nainjoy nikipata ladha mpya.

Nimefika mwisho wa kuchepuka, 16 good years nimekua kwenye aina tofauti tofauti za mahusiano.

Nimechokaaaaa, nataka nitulie sasa nifanyeje?
Nunua dildo.............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom