Huyo mchungaji awe na moyo kweli huo mkao kwenye avatar na hayo maombi baada ya kupaa nao mkono utashuka huko kwenye nyau. Nani kasema mchungaji hawapendi utamu?
Wapendwa nisaidieni jamani maana mi nasema ukweli, natamani nisaidiwe ili nipone kwenye hili linalonisumbua.
Kiukweli sipendi kuchepuka, ila napenda sana maisha flani ambayo bila mchepuko siwezi yapata. Napenda extra sex, niliyonayo imenichosha nainjoy nikipata ladha mpya.
Nimefika mwisho wa kuchepuka, 16 good years nimekua kwenye aina tofauti tofauti za mahusiano.
Nimechokaaaaa, nataka nitulie sasa nifanyeje?
Na mimi naomba kidoogo plz,,,Hivi uzinzi ni pepo???? Maana ukitaka kuacha uwiii nkiona ata mtu anabembelezwa au ana sex kwenye movie yaani situliiii
Daaah leo umeniweza mamii,maana umenipa swali kali kweli,angalia sasa naumbuka jamani,uchokozi sio jambo zuri.Nilisikiaje nini?
Tatizo sio yeye mamii,maana ugwadu ukizidi anakuwa taaban katika dunia ya asali.pole dada,that's a big problem.but suluhu ni moja tu.....wewe kubadili msimamo.tulia na mmoja.
Ndio ukweli mamii,maana hapo tu kwenye avatar ni full kutuumiza,tusije pata mfazaiko bhana,na hao wachungaji wanatafuna kondoo kwa kwenda mbele,maana tumeona visa vyao wakiamrisha wanawake wasivae underwear waendapo Kanisani.Uwiiiiii
Na kweli Mkuu,maana fisi maji wamejaa jukwaani ile mbaya,tatizo wengi ni mabwabwa.Wewe baki hivyo hivyo mamii njoo PM hilo dume lina madevu kuliko Osama. Wabongo kwa free papuchi hatareeee
ha ha ha! we kaka nomaTatizo sio yeye mamii,maana ugwadu ukizidi anakuwa taaban katika dunia ya asali.
Usijali mamii,ni lazima tuseme ukweli bhana,maana hata mpenzi wangu huwa anazidiwa mpaka inabidi nimuingizie simu Nokia ya tochi kule machimboni,inakuwa iko kwenye vibration mode halafu naipiga ina vibrate ndani ya naniliu,baasi mpaka simu inaisha charge yeye bado ana kiu,kwa hiyo inabidi ni charge mara mbili ndo mwenzangu anafika.ha ha ha! we kaka noma
Mkuu huyo hajitambui wakati ugwadu uko full tank bhana,ni kwamba ugwadu wake umezidi mpaka umeharibu control,inafika mahali suluhisho ni kuchimba mafuta tu.Hivi suala kama hilo linaitaji mchungaji? Kama hutaki mchepuko si uache, ushauri gani hapa utakaokubadilisha zaidi ya wewe kujitambua? Muombe Baba atakusaidia, otherwise hautabadilika.
Ww una roho za uzinzi sio pepo tu! Roho huwa zipo na madhabahu ambapo bila kuamua kubadirisha maisha yako pamoja na kuokoka plus derivarence huwezi kufanikiwa!Hivi uzinzi ni pepo???? Maana ukitaka kuacha uwiii nkiona ata mtu anabembelezwa au ana sex kwenye movie yaani situliiii
Yes when it comes to madhabahu za (uzinzi) ambazo zinasimamia hizo roho za uzinzi/uasherati ht uokoke tu,sijui uamue kuacha huwezi unless ur derivered!Hivi suala kama hilo linaitaji mchungaji? Kama hutaki mchepuko si uache, ushauri gani hapa utakaokubadilisha zaidi ya wewe kujitambua? Muombe Baba atakusaidia, otherwise hautabadilika.