Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 31,908
- 33,336
MREJESHO: Kuna mdau kanipa ramani full 2 (Nichague kama zitanifaa) ambazo yeye alijenga na amekubali kunipigia mihuri kwa 50 then nikafuatilie vibali Halmashauri. Actually ni ramani ziko very clear kuliko hata zile za malofa wa 700k
Huko Halimashauri utasugua viatu mpaka uchoke maana kuna usumbufu balaa na rushwa ndiyo usiseme kabisaaaaaa!!!!