Wachina wanavyowanyanyasa Watanzania

Wachina wanavyowanyanyasa Watanzania

Villanova tito

Senior Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
148
Reaction score
154
Kwema wana jukwaa leo nimekuja na hoja jinsi wajina wanavyowanyanyasa wazawa ambao wamewaajiri katika kampuni za ujenzi
Kuna kampuni moja inaitwa Chicco inajenga mto ng'ombe unaopita mitaa ya Sinza, Mtogole mpaka Mkwajuni. Mradi ambao uko chini ya Manispaa ya Kinondoni.

Lakini mwanzoni mwa wiki hii J.tatu waliwasimamisha wafanyakazi wao ambao no mafundi ujenzi kwa miez miwili wakidai wamewapa lay-off bila kuwapa stahiki zao kama pesa ya likizo.

Mbali ya hayo wachina hawahawa wanajeuri ya kuwaambia nendeni kokote mkashtaki. Yaan watu wakihoji kukatwa overtime unafukuzwa.

Sasa wako wapi viongozi wa wawanyonge
 
Yakitokeaga south mnasema SA hawajielewi leo bongo mnaongea kinyonge !

Ungeleta uzi unaosema tyr wameshapanuliwa vipago !
 
Kuna siku moja nilikuwa kariakoo.. kwenye duka nililokuwepo pembeni kulikuwa na duka la wachina lenye wafanyakazi waswahili...nakumbuka yule kaka mswahili aliomba ruhusa kwa mchina anajisikia vibaya arudi nyumbani..jibu la mchina alimwambia akitoka pale na kazi Hana..dah!!..yule kaka alitia huruma akataka na kumpigia mchina magoti..bahati nzuri duka la pembeni nilipokuwa Mimi wenye duka waswahili wakorofi wakamwambia mchina ..huyu jamaa anaenda home kupumzika Sasa ole wako kesho umfukuze kazi..mchina alinywea kwa ule mkwara..vijana wafanyao kazi kwa wachina wanatiaga huruma Aisee.
 
Wachina ni ndugu zetu kwa mujibu wa CCM kuliko hata Wazungu, kwahiyo vumilieni hayo manyanyaso.
 
kuna .muhindi mmoja mbagala alikula nondo ya backpass alafu jamaa aktokomea kusikojulikana kuanzia siku hiyo wahindi adabu matrakoni.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Kuna siku moja nilikuwa kariakoo.. kwenye duka nililokuwepo pembeni kulikuwa na duka la wachina lenye wafanyakazi waswahili...nakumbuka yule kaka mswahili aliomba ruhusa kwa mchina anajisikia vibaya arudi nyumbani..jibu la mchina alimwambia akitoka pale na kazi Hana..dah!!..yule kaka alitia huruma akataka na kumpigia mchina magoti..bahati nzuri duka la pembeni nilipokuwa Mimi wenye duka waswahili wakorofi wakamwambia mchina ..huyu jamaa anaenda home kupumzika Sasa ole wako kesho umfukuze kazi..mchina alinywea kwa ule mkwara..vijana wafanyao kazi kwa wachina wanatiaga huruma Aisee.
Yani sanaa
 
Kwema wana jukwaa leo nimekuja na hoja jinsi wajina wanavyowanyanyasa wazawa ambao wamewaajiri katika kampuni za ujenzi
Kuna kampuni moja inaitwa Chicco inajenga mto ng'ombe unaopita mitaa ya Sinza, Mtogole mpaka Mkwajuni. Mradi ambao uko chini ya Manispaa ya Kinondoni.

Lakini mwanzoni mwa wiki hii J.tatu waliwasimamisha wafanyakazi wao ambao no mafundi ujenzi kwa miez miwili wakidai wamewapa lay-off bila kuwapa stahiki zao kama pesa ya likizo.

Mbali ya hayo wachina hawahawa wanajeuri ya kuwaambia nendeni kokote mkashtaki. Yaan watu wakihoji kukatwa overtime unafukuzwa.

Sasa wako wapi viongozi wa wawanyonge
niunganishe na hao wafanyakazi niwape msahada wa kisheria waweze kukomboa haki zao zilizo minywa
 
Shida wabongo wanalia Sanaa.

We unafikiri wachina wanawanyanyasa wabongo.

Hata kwao wanapigishwa kazi masaa 16 bila kupumzishwa.

Unafikiri wachina wangelegezeana wangetoboa.

Ila Sisi wabongo wababaishaji tapeli na wavivu.

Mi kwenye swala la kazi hata siwaamini wabongooo
 
Back
Top Bottom