Villanova tito
Senior Member
- Dec 20, 2016
- 148
- 154
Kwema wana jukwaa leo nimekuja na hoja jinsi wajina wanavyowanyanyasa wazawa ambao wamewaajiri katika kampuni za ujenzi
Kuna kampuni moja inaitwa Chicco inajenga mto ng'ombe unaopita mitaa ya Sinza, Mtogole mpaka Mkwajuni. Mradi ambao uko chini ya Manispaa ya Kinondoni.
Lakini mwanzoni mwa wiki hii J.tatu waliwasimamisha wafanyakazi wao ambao no mafundi ujenzi kwa miez miwili wakidai wamewapa lay-off bila kuwapa stahiki zao kama pesa ya likizo.
Mbali ya hayo wachina hawahawa wanajeuri ya kuwaambia nendeni kokote mkashtaki. Yaan watu wakihoji kukatwa overtime unafukuzwa.
Sasa wako wapi viongozi wa wawanyonge
Kuna kampuni moja inaitwa Chicco inajenga mto ng'ombe unaopita mitaa ya Sinza, Mtogole mpaka Mkwajuni. Mradi ambao uko chini ya Manispaa ya Kinondoni.
Lakini mwanzoni mwa wiki hii J.tatu waliwasimamisha wafanyakazi wao ambao no mafundi ujenzi kwa miez miwili wakidai wamewapa lay-off bila kuwapa stahiki zao kama pesa ya likizo.
Mbali ya hayo wachina hawahawa wanajeuri ya kuwaambia nendeni kokote mkashtaki. Yaan watu wakihoji kukatwa overtime unafukuzwa.
Sasa wako wapi viongozi wa wawanyonge



