Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 15,001
- 35,134
Ok,maana pale ndio makao makuu ya chumviKuna jamaa alinikodi kwenda kuchukua Chumvi yake nikampelekea Kigali.
Ok,maana pale ndio makao makuu ya chumviKuna jamaa alinikodi kwenda kuchukua Chumvi yake nikampelekea Kigali.
we acha dharau mwa post ya maana kama hiiSasa si uwaambie hao watendaji wa serikali ili wawabane wachina
Wahusika wasingemsikiliza anaweza akakaa benchi mpk anakata tamaa bora apaTaarifa ulizotoa ni za muhimu sana ila ungezipeleka kwa wahusika ungeokoa pesa nyingi za taifa hili
JitafakarAcha waited tu, nawewe iba tu ukipata nafasi
Sina haja ya kutafakari, nchi hii inachosha sana.....ukipata chance chukua mkate wako mapema.....kama hutaki wengine watachukuaJitafakar
Nchi hii in wenyewe na wenyewe ni mafisadi, wakwepa Kodi na Wala rushwa...jihadhari Ndugu yangu kelele zako hazitasaidiaNipo senkenke machimboni, Kuna wachina wamefungua mgodi wa kuchimba dhahabu, sasa wanawandanganya watendaji wa serikali kuwa, hawajaanza uzalishaji.
Wachina wanasema bado wanakusanya mchanga, kumbe walishaanza siku nyingi kuzalisha!! juzi Kati Kuna wachina walikuwa wanarudi China, waliondoka na dhahabu ya kutosha! ambayo walienda kuiuza dar kwa mhindi mmoja hivi!! dhahabu hio iliuzwa kws Tsh 280 million.
Pili Kuna wachina wanafanya kazi bila kuwa na vibali vya kufanya kazi nchini!! Wachina hawa wamekuwa wskiingia Kama watalii na kupotelea hapa nchini!!
Nazishangaa mamlaka!! hazilioni hili?wachina wanasafiri kwa gari kutoka dar hadi shelui bila kukamatwa njiani!? hili linafikilisha!!
Mara nyingi huwa wakienda watu wa uhamiaji pale mgodini, wachina wasio na vibali vya kufanya kazi nchini, hutolewa hapo mgodini na kupelekwa maeno ya nkonkilangi na wakati mwingine hupolekwa ziwani doromon, inaonekana Kuna mkubwa huwa anajulisha!!
Leo nimeona Kuna watendaji ws serikali wamepita wakielekea mgodini, sijui Kama wanalijua hili!?
Hii ni ile iliyouzwa!! sijui kwenye mabegi yao waliondoka na mzigo kiasi gani!! na wemekuwa na utaratibu wa kubadirisha wafanya kazi kila mara!Wametorasha kilo mbili kaka mbona no kiasi kidogo Sana kwenye dhahabu au hauna taaarifa kamili million 280, kwa uwekezezaji wa dhahabu ni pesa ndogo sana
Sio kilo mbili, kilo moja ina gramu 1000, na gramu moja inauzwa laki moja hadi laki na kumi, inategemea na ubora wa dhahabu! hivyo ni chini ya kg mbili.Wametorasha kilo mbili kaka mbona no kiasi kidogo Sana kwenye dhahabu au hauna taaarifa kamili million 280, kwa uwekezezaji wa dhahabu ni pesa ndogo sana
Ndio uwajulishe sasa hao watendaji sasaNipo senkenke machimboni, Kuna wachina wamefungua mgodi wa kuchimba dhahabu, sasa wanawandanganya watendaji wa serikali kuwa, hawajaanza uzalishaji.
Wachina wanasema bado wanakusanya mchanga, kumbe walishaanza siku nyingi kuzalisha!! juzi Kati Kuna wachina walikuwa wanarudi China, waliondoka na dhahabu ya kutosha! ambayo walienda kuiuza dar kwa mhindi mmoja hivi!! dhahabu hio iliuzwa kws Tsh 280 million.
Pili Kuna wachina wanafanya kazi bila kuwa na vibali vya kufanya kazi nchini!! Wachina hawa wamekuwa wskiingia Kama watalii na kupotelea hapa nchini!!
Nazishangaa mamlaka!! hazilioni hili?wachina wanasafiri kwa gari kutoka dar hadi shelui bila kukamatwa njiani!? hili linafikilisha!!
Mara nyingi huwa wakienda watu wa uhamiaji pale mgodini, wachina wasio na vibali vya kufanya kazi nchini, hutolewa hapo mgodini na kupelekwa maeno ya nkonkilangi na wakati mwingine hupolekwa ziwani doromon, inaonekana Kuna mkubwa huwa anajulisha!!
Leo nimeona Kuna watendaji ws serikali wamepita wakielekea mgodini, sijui Kama wanalijua hili!?
We hunitakii mema!!Ndio uwajulishe sasa hao watendaji sasa
mkuu, ili wamnyoshe,Kutujulisha sisi unatutia hasira tu, bora hata ungepiga simu wizarani mbona namba zipo?
mkuu, kua ww huya amini haya asemayo uyu jamaa??Mkuu kwanza una uhakika gani kama ni kweli asemayo mleta uzi?
Kuna watu wengi wa kuwatonya na wakafanyia kazi taarifa hiyo kuliko huku mtandaoni labda kama angekuwa tayari kashapita hizo ngazi zote.
Tumia akili ww unaejiita mzalendo uchwara au hao wazalendo wako wa serikalini hawaaminiki?
Mkuu 'MNFUMAKOLE' tunaposema "tunafungua nchi' huku hatukuweka taratibu za kupambana na mambo kama hayo unayoyaelezea hapa, basi nchi linakuwa kama jalala hivi.Nipo senkenke machimboni, Kuna wachina wamefungua mgodi wa kuchimba dhahabu, sasa wanawandanganya watendaji wa serikali kuwa, hawajaanza uzalishaji.
Wachina wanasema bado wanakusanya mchanga, kumbe walishaanza siku nyingi kuzalisha!! juzi Kati Kuna wachina walikuwa wanarudi China, waliondoka na dhahabu ya kutosha! ambayo walienda kuiuza dar kwa mhindi mmoja hivi!! dhahabu hio iliuzwa kws Tsh 280 million.
Pili Kuna wachina wanafanya kazi bila kuwa na vibali vya kufanya kazi nchini!! Wachina hawa wamekuwa wskiingia Kama watalii na kupotelea hapa nchini!!
Nazishangaa mamlaka!! hazilioni hili?wachina wanasafiri kwa gari kutoka dar hadi shelui bila kukamatwa njiani!? hili linafikilisha!!
Mara nyingi huwa wakienda watu wa uhamiaji pale mgodini, wachina wasio na vibali vya kufanya kazi nchini, hutolewa hapo mgodini na kupelekwa maeno ya nkonkilangi na wakati mwingine hupolekwa ziwani doromon, inaonekana Kuna mkubwa huwa anajulisha!!
Leo nimeona Kuna watendaji ws serikali wamepita wakielekea mgodini, sijui Kama wanalijua hili!?
Itafika muda, tutaanza kuchukua sheria mkononi. kulinda rasilimali zetu!Mkuu 'MNFUMAKOLE' tunaposema "tunafungua nchi' huku hatukuweka taratibu za kupambana na mambo kama hayo unayoyaelezea hapa, basi nchi linakuwa kama jalala hivi.
Umeeleza vizuri sana na kwa kweli inasikitisha sana kuona nchi yetu hii hatujifunzi lolote. Mambo haya kila mara yanapigiwa kelele, lakini inaeleweka tatizo lilipo, ni huko serikalini kwa idara zilizokabidhiwa majukumu ya kushughulikia mambo hayo. Jamaa wanaweka maslahi ya nchi yetu pembeni kwa maslahi yao binafsi.
Nina hofu sana huko tuendako hali itazidi kuwa mbaya zaidi. Magufuli alikuwa hafai kwa mambo mengi, lakini katika mambo kama haya ya kuonekana (hata kama angekuwa anaigiza) kulipigania taifa, katika eneo hilo wengi tulimkubali.