kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,922
- 10,472
Suala sio kuamini kuna basis ipi ya kuyaamini.mkuu, kua ww huya amini haya asemayo uyu jamaa??
Wewe unawezaje kuamini?
Suala sio kuamini kuna basis ipi ya kuyaamini.mkuu, kua ww huya amini haya asemayo uyu jamaa??
Sasa kuanzisha thread humu haitoshi,huko uliko kuna mamlaka husika ingefaa zaidi kama ungetoa taarifa .Nipo senkenke machimboni, Kuna wachina wamefungua mgodi wa kuchimba dhahabu, sasa wanawandanganya watendaji wa serikali kuwa, hawajaanza uzalishaji.
Wachina wanasema bado wanakusanya mchanga, kumbe walishaanza siku nyingi kuzalisha!! juzi Kati Kuna wachina walikuwa wanarudi China, waliondoka na dhahabu ya kutosha! ambayo walienda kuiuza dar kwa mhindi mmoja hivi!! dhahabu hio iliuzwa kws Tsh 280 million.
Pili Kuna wachina wanafanya kazi bila kuwa na vibali vya kufanya kazi nchini!! Wachina hawa wamekuwa wskiingia Kama watalii na kupotelea hapa nchini!!
Nazishangaa mamlaka!! hazilioni hili?wachina wanasafiri kwa gari kutoka dar hadi shelui bila kukamatwa njiani!? hili linafikilisha!!
Mara nyingi huwa wakienda watu wa uhamiaji pale mgodini, wachina wasio na vibali vya kufanya kazi nchini, hutolewa hapo mgodini na kupelekwa maeno ya nkonkilangi na wakati mwingine hupolekwa ziwani doromon, inaonekana Kuna mkubwa huwa anajulisha!!
Leo nimeona Kuna watendaji ws serikali wamepita wakielekea mgodini, sijui Kama wanalijua hili!?
Usiwe mjinga mkuu madini kutoroshwa imekuwa.hivyo mda mrefu imagine licha ya kujegwa ukuta na kuweka wanajeshi merelani Bado Madini yakiendelea kutoroshwa hadi Chief Hangaya akahoji maana has ya kujenga ukuta.safari imeanza,kwa nchi yetu hii hayo Mambo inabidi tuyazoee tu Sasa tutafanyaje!! maana ukifikiria Sana unaweza kuwehuka au kwenda kumzaba makofi mtu!!
Humu hauko peke yako na hapa ni njia sahihi kabisa kutolea taarifa sensitive ambazo zina athiri kipato haramu cha watu hivyo kutoa taarifa kama hizi kwa uwazi ni kujiweka hatarini sanaKutujulisha sisi unatutia hasira tu, bora hata ungepiga simu wizarani mbona namba zipo?
Hili swali huwa najiuliza sana hata mimi au pengine hayo sio sehemu ya majukumu yao.Si tuliambiwa TISS wako kila mahali vipi hapo hawapo?
Yupo sahihi sana kuanzisha uzi huku kwa kwa sababu za kiusalama huko mnako taka aende mnataka apotelee kusiko julikana maana huwezi jua nani yupo nyuma ya hawa wachinaSasa kuanzisha thread humu haitoshi,huko uliko kuna mamlaka husika ingefaa zaidi kama ungetoa taarifa .
Pili swala la kusafirisha mchanga au makinikia nje ya nchi bado tuu halijamalizwa na Serikali? Au wakati wanawaruhusu Barrick vipi kwa wachimbaji wengine?..
Waziri mhusika na watendaji wengine chukueni hatua.
Mwisho , nadhani kuna shida sana huko uhamiaji,hawawezi.ku track wageni wanaoingia Nchini?
Ni kweli mkuu! maana nitaharibu kipato cha watu!Yupo sahihi sana kuanzisha uzi huku kwa kwa sababu za kiusalama huko mnako taka aende mnataka apotelee kusiko julikana maana huwezi jua nani yupo nyuma ya hawa wachina
Inaumiza sana.Itafika muda, tutaanza kuchukua sheria mkononi. kulinda rasilimali zetu!
inasikitisha sana kwa kweliHumu hauko peke yako na hapa ni njia sahihi kabisa kutolea taarifa sensitive ambazo zina athiri kipato haramu cha watu hivyo kutoa taarifa kama hizi kwa uwazi ni kujiweka hatarini sana
Hili swali huwa najiuliza sana hata mimi au pengine hayo sio sehemu ya majukumu yao.
Hapa ndio penyewe.Yupo sahihi sana kuanzisha uzi huku kwa kwa sababu za kiusalama huko mnako taka aende mnataka apotelee kusiko julikana maana huwezi jua nani yupo nyuma ya hawa wachina
Hiyo ni kazi ya TISS ,Nipo senkenke machimboni, Kuna wachina wamefungua mgodi wa kuchimba dhahabu, sasa wanawandanganya watendaji wa serikali kuwa, hawajaanza uzalishaji.
Wachina wanasema bado wanakusanya mchanga, kumbe walishaanza siku nyingi kuzalisha!! juzi Kati Kuna wachina walikuwa wanarudi China, waliondoka na dhahabu ya kutosha! ambayo walienda kuiuza dar kwa mhindi mmoja hivi!! dhahabu hio iliuzwa kws Tsh 280 million.
Pili Kuna wachina wanafanya kazi bila kuwa na vibali vya kufanya kazi nchini!! Wachina hawa wamekuwa wskiingia Kama watalii na kupotelea hapa nchini!!
Nazishangaa mamlaka!! hazilioni hili?wachina wanasafiri kwa gari kutoka dar hadi shelui bila kukamatwa njiani!? hili linafikilisha
Mara nyingi huwa wakienda watu wa uhamiaji pale mgodini, wachina wasio na vibali vya kufanya kazi nchini, hutolewa hapo mgodini na kupelekwa maeno ya nkonkilangi na wakati mwingine hupolekwa ziwani doromon, inaonekana Kuna mkubwa huwa anajulisha
Leo nimeona Kuna watendaji ws serikali wamepita wakielekea mgodini, sijui Kama wanalijua hili!?
nishawai fanya kazi, na nikayaona mambo yanayofanana na hayo..Suala sio kuamini kuna basis ipi ya kuyaamini.
Wewe unawezaje kuamini?
Kama ni kweli basi huu ni uzembe wa hali ya juu wa vyombo vinavyohusika. Hata wakiwa na vibali vyote ni lazima kuwe na monitoring ya kutosha bila hivyo tutaendelea kuwa shamba la bibi.Nipo senkenke machimboni, Kuna wachina wamefungua mgodi wa kuchimba dhahabu, sasa wanawandanganya watendaji wa serikali kuwa, hawajaanza uzalishaji.
Wachina wanasema bado wanakusanya mchanga, kumbe walishaanza siku nyingi kuzalisha!! juzi Kati Kuna wachina walikuwa wanarudi China, waliondoka na dhahabu ya kutosha! ambayo walienda kuiuza dar kwa mhindi mmoja hivi!! dhahabu hio iliuzwa kws Tsh 280 million.
Pili Kuna wachina wanafanya kazi bila kuwa na vibali vya kufanya kazi nchini!! Wachina hawa wamekuwa wskiingia Kama watalii na kupotelea hapa nchini!!
Nazishangaa mamlaka!! hazilioni hili?wachina wanasafiri kwa gari kutoka dar hadi shelui bila kukamatwa njiani!? hili linafikilisha
Mara nyingi huwa wakienda watu wa uhamiaji pale mgodini, wachina wasio na vibali vya kufanya kazi nchini, hutolewa hapo mgodini na kupelekwa maeno ya nkonkilangi na wakati mwingine hupolekwa ziwani doromon, inaonekana Kuna mkubwa huwa anajulisha
Leo nimeona Kuna watendaji ws serikali wamepita wakielekea mgodini, sijui Kama wanalijua hili!?
Taarifa ulizotoa ni za muhimu sana ila ungezipeleka kwa wahusika ungeokoa pesa nyingi za taifa hili