Wachina Wametuchoka Waafrika

Wachina Wametuchoka Waafrika

Ungesoma kwenye hiyo link ungegundua mengi zaidi! Eti mtu mweusi aliingizwa kwenye mashine ya kufulia na baada ya kufuliwa akatoka akiwa mu asia(mweupe) hiyo ina maana kuwa weusi wetu ni uchafu! Na mpumbavu wa lumumba anashangilia tu!pumbavu kabisa.
hata wakisema hivyo kwani ni kweliii...!!!?
kuwaza ni bure aisee acha wawaze tu.
 
Kumfundisha mtoto kuwa racist inachukua dakika 3 tu na inakaa kichwani miaka yake yote atayoishi duniani.

Hata sisi wapo wengi wabaguzi ambao aidha wameyasikia kwa wazazi wao au wamefundishwa chuki moja kwa moja.

Wala tusiwashangae wao kwani nao wamefundishwa kama baadhi ya weusi pia kwa rangi nyingine.

Tupinge ubaguzi
 
Wazungu, wahindi, waarabu sijui kina Nani wote hao kwangu ni taka taka.
 
Back
Top Bottom