Walichofanya 'chinese people' si kizuri but polisi nao wamezidi acha wahudhurie mgao wa maumivu!Waache wafundishwe adabu na Mambwana zao kwani kule Mara siwalituulia ndugu zetu kwa kuwalinda hao hao wawekezaji wao, sasa leo wanakula kisago kutoka kwa mabwana zao waacheni wauliwe nataka hata wakalipue kituo chote hao wachina, kwanza jeshi la Polisi tanzania halina faida yoyote kwa watanzania wamezidi kutunyanyasa na kutuibia pesa kwa kutulazimisha kuwapa zetu na mali zetu. Hasa wale wanaotembelea Bajaji sijui bodaboda wezi sana wakikuona umebeba kafurushi kidogo wanakusimamisha na kutaka kukunyany'anya majambazi yasiokuwa na aibu
Nasikia kuna minyoo inaitwa askari. Bila shaka ndo hawa hawa!