Wachina wamchapa makofi mkuu wa kituo cha polisi

Wachina siku zote wanajiona wako juu ya sheria hapa Tanzania.Ukitaka kujua nenda Kiwanda cha Nguo cha URAFIKI uliza vizuri utapatafull story zao.
 
Afadhali na hao Polisi wachezee kichapo. Mbona hamjawapiga hao wachina risasi kama mnavyowatwanga watanzania wenzenu? Au kwa kuwa ni weupe?
icon9.png
 
Huwezi amini!!! Hawa si ndo walijifanya wababe kwenye kupambana na waandamanaji??? Sasa mbona wanapigwa vibao kama watoto. Anyway, nchi ishauzwa tayari..
 
Waache wafundishwe adabu na Mambwana zao kwani kule Mara siwalituulia ndugu zetu kwa kuwalinda hao hao wawekezaji wao, sasa leo wanakula kisago kutoka kwa mabwana zao waacheni wauliwe nataka hata wakalipue kituo chote hao wachina, kwanza jeshi la Polisi tanzania halina faida yoyote kwa watanzania wamezidi kutunyanyasa na kutuibia pesa kwa kutulazimisha kuwapa zetu na mali zetu. Hasa wale wanaotembelea Bajaji sijui bodaboda wezi sana wakikuona umebeba kafurushi kidogo wanakusimamisha na kutaka kukunyany'anya majambazi yasiokuwa na aibu
Walichofanya 'chinese people' si kizuri but polisi nao wamezidi acha wahudhurie mgao wa maumivu!
 
cjapenda walivyopiga raia ila nimependa polic walivyokula kichapo safi sana wananchi wangeacha mana kama ni raia polic wa tz wangetetea wachina ona ajabu wamefetua risasi hewani ila ingekuwa watz wenzao wangewaua shame on them
 
Wachina hawa na polisi na vipi yule mgombea wa CCM kamkata ngwala OCD iliishia wapi ?
 
Na bado, na nchi tutanyang'anywa hivyo hivyo shauri ya njaa njaa za viongozi wetu.
 
Back
Top Bottom