Dumelambegu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,052
- 257
Ndugu zangu,
Mara kadhaa imejitokeza mijadala humu jamvini kuhusu dawa za kichina za kuongeza au kupunguza ukubwa wa viungo mbalimbali vya miili yetu. Lakini mjadala mkubwa umekuwa unahusu dawa ya kuongeza makalio na hips ambayo imechangamkiwa sana na wanawake wengi hapa nchini. Hivi sasa, ukitembelea miji mikubwa kama Dar, Mwz, Ars na Mby limekuwa ni jambo la kawaida kuonana na asilimia kubwa ya wanawake wakiwa 'wamefungasha' nyuma tena 'mgizo' ulioshehena haswa huku wakiwa wamevaa suruali.
Ninachojiuliza ni maswali yafuatayo:
(i) Wachina walijuaje kuwa dawa ya kuongeza makalio itakuwa na soko kubwa Tanzania/Afrika? Je, walifanya utafiti kwanza kwa kuuliza wanawake/wanaume?
(ii) Kwa nini wenyewe wachina hawatumii dawa hizo za kuongeza makalio na hips? Je, ni kwa sababu wanaogopa madhara yake au ni kwa sababu makalio makubwa hayana soko kubwa huko kwao?
(iii) Hivi kwani makalio makubwa yana matumizi gani ya maana katika suala zima la mapenzi? Je, kuna uhusiano gani kati ya makalio makubwa na utoshelezi wa tendo la ndoa? Wengine wanasema ni maarufu kwa matumizi ya 'kinyume na maumbile'. Je, kuna ukweli gani kuhusu hili?
Nadhani utakuwa mjadala mzuri kwa wikiendi hii. Karibuni!
Mara kadhaa imejitokeza mijadala humu jamvini kuhusu dawa za kichina za kuongeza au kupunguza ukubwa wa viungo mbalimbali vya miili yetu. Lakini mjadala mkubwa umekuwa unahusu dawa ya kuongeza makalio na hips ambayo imechangamkiwa sana na wanawake wengi hapa nchini. Hivi sasa, ukitembelea miji mikubwa kama Dar, Mwz, Ars na Mby limekuwa ni jambo la kawaida kuonana na asilimia kubwa ya wanawake wakiwa 'wamefungasha' nyuma tena 'mgizo' ulioshehena haswa huku wakiwa wamevaa suruali.
Ninachojiuliza ni maswali yafuatayo:
(i) Wachina walijuaje kuwa dawa ya kuongeza makalio itakuwa na soko kubwa Tanzania/Afrika? Je, walifanya utafiti kwanza kwa kuuliza wanawake/wanaume?
(ii) Kwa nini wenyewe wachina hawatumii dawa hizo za kuongeza makalio na hips? Je, ni kwa sababu wanaogopa madhara yake au ni kwa sababu makalio makubwa hayana soko kubwa huko kwao?
(iii) Hivi kwani makalio makubwa yana matumizi gani ya maana katika suala zima la mapenzi? Je, kuna uhusiano gani kati ya makalio makubwa na utoshelezi wa tendo la ndoa? Wengine wanasema ni maarufu kwa matumizi ya 'kinyume na maumbile'. Je, kuna ukweli gani kuhusu hili?
Nadhani utakuwa mjadala mzuri kwa wikiendi hii. Karibuni!