Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,416
- 21,811
Yaaani kwa kifupi jina Lako linanyegesha Bwana Mmeku.Unawaza mbali kwel ushawaza ngono tayari uchagan si tusi kabisaa ndo maana kuna ukoo unaitwa mboro
Yaaani kwa kifupi jina Lako linanyegesha Bwana Mmeku.Unawaza mbali kwel ushawaza ngono tayari uchagan si tusi kabisaa ndo maana kuna ukoo unaitwa mboro
Walishasema, tatizo ni magari Makubwa ya mizigo yanaharibu barabara,manake hizo barabara zimejengwa kwa kiwango cha hali ya juu mno
Sasa mmefika mbali, sii itakuwa shughuli pale MTU wa ukoo wa Mboro aoe wa ukoo wa Namtobe?Unawaza mbali kwel ushawaza ngono tayari uchagan si tusi kabisaa ndo maana kuna ukoo unaitwa mboro
Mkuu unakataa ukweli?hizo kampuni ni kubwa na zimeshafanya miradi mikubwa duniani, kama hamna nidhamu katika matumizi yetu ya barabara hazitadumu, maana zinatengenezwa kwa standard iliyotakiwaYou should be joking and not serious friend.....this is a very critical case understand.
HAYO Magari Ambayo Wao Wanasema Yanaharibu Barabara Ambazo Wao Wamejenga Kwa Kiwango Cha JUU, Si Hizo Hizo Zinaenda Kongo, Zambia, Malawi, Uganda, Burundi, Rwanda N.k. MBONA Huko Barabara Zao HAZIHARIBIKI Kama ZILIVYO ZETU!!!?? RWANDA Wako Wakandarasi Wa KICHINA, Ambazo Zinajenga Barabara, Za KIWANGO Cha JUU Mno, Hakuna Barabara Ambazo Zimevimba Wala Kuchimbika Mahandaki!! HIVI Hii Barabara Ya KILWA, Tokea Round About Ya Bandari Hadi Mbagala Rangi 3!! IMEHARIBIKA Kutokana Na Magari MAKUBWA Yaendayo Bandari!!!!!??Walishasema, tatizo ni magari Makubwa ya mizigo yanaharibu barabara,manake hizo barabara zimejengwa kwa kiwango cha hali ya juu mno
Umenena mkuu barabara za mchina hazidumu mfano Barabara ya chalinze melela ilifanyiwa marekebisho rehabilitation mwaka 2002 na kampuni ya Denmark ya arself na ncc na chalinze hadi mpakan ilifanyiwa marekebisho mwaka 2009 na kampun ya china geo cgc ila itembelee leo inabanduka na viraka vya kutosha je hii ni kwa. NnUpinzani umepagawa na mbwembwe za Magu wakati kunavitu ka hiv vyakumdhibitisha Magu kama kweli mzalendo au kiki tuuu
Kuna hizi kampuni za kichina hapa Tanzania ni nyingi sana kwenye ujenzi wa nyumba pia barabara hivi ni nani anawapa kiburi hivi, maana ukifuatilia kwenye ujenzi wa barabara hawa jamaa hawaajiri kabisa pia wanalipua sana kwenye earthwork ni wabovu sana barabara zao nyingi ni mbovu mfano Chalinze hadi mpakani wa Tanga walijenga hawa c.g.c. ishaanza kubanduka lami tatizo ni nini nani anawapa kiburi?
Haaaa imeua aiseemkwere ndiyo aliwapa kiburi wakawa waningia ikulu kama kwenda kunywa maji.... mchina ukimzengua anapiga simu kwa mkwere fasta
mimi nasema tuHaaaa imeua aisee
10% zinaua miradiKuna mradi wa east Africa toka arusha mpaka Nairobi kwa Tanzania ilijenga hii kampuni ya cgc na jangs zote za China toka arusha namanga ebu pita iyo barabara uone ni mashimo ni nyembamba kama uchochoro imevimba na ni asfat lami ya moto ambayo ni garama sana sasa ingia upande wa namanga adi kajiado adi Nairobi Barbara ni pana nzuri na imejengwa na kampuni ya China sino haidro hivi tatizo ni usimamizi au mainginia wetu wabovu?
HILO Ndio Tatizo Letu Wabongo, 10% Na Kutaka Cheaper!!!Unategemea mtu akujengee barabara ya 1bil kwa kilomita wakati wewe unampa nusu Bilioni kwa kilometa?
SASA hapo ndio ujiulize kwa nini?HAYO Magari Ambayo Wao Wanasema Yanaharibu Barabara Ambazo Wao Wamejenga Kwa Kiwango Cha JUU, Si Hizo Hizo Zinaenda Kongo, Zambia, Malawi, Uganda, Burundi, Rwanda N.k. MBONA Huko Barabara Zao HAZIHARIBIKI Kama ZILIVYO ZETU!!!?? RWANDA Wako Wakandarasi Wa KICHINA, Ambazo Zinajenga Barabara, Za KIWANGO Cha JUU Mno, Hakuna Barabara Ambazo Zimevimba Wala Kuchimbika Mahandaki!! HIVI Hii Barabara Ya KILWA, Tokea Round About Ya Bandari Hadi Mbagala Rangi 3!! IMEHARIBIKA Kutokana Na Magari MAKUBWA Yaendayo Bandari!!!!!??
ile barabara ya kutoka msoga pale pia katengeneza mchina wanaitwa China henang chiko tayari ishaanza banduka aisee haaaaaaaaaaaaaamimi nasema tu
HILO Ndio Tatizo Letu Wabongo, 10% Na Kutaka Cheaper!!!