Wachina nani anawapa kiburi hivi?

Wachina nani anawapa kiburi hivi?

Walishasema, tatizo ni magari Makubwa ya mizigo yanaharibu barabara,manake hizo barabara zimejengwa kwa kiwango cha hali ya juu mno
Basi USA wangekuwa wana mashimo tupu kwenye barabara zao. Maana katika gari 10kwenye highways 4 ni trucks. Wanalipua na kugawana mapato tu.
 
Huku mtaani kwetu wamejaa mno wanajifungia mchana kutwa matembezi yao ni ucku kwa usuku serikali haipo
 
Back
Top Bottom