KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 199
Habari za kusikitisha leo tar 17Oct 2011 wachina katka vipepelush vyao walivyobandika ktk maduka yao yote kariakoo na kwingineko wanasema "leo tar hatutafumgua maduka kuomboleza kifo cha mchina mwenzetu aliyeuawa na majambazi na tunasikitishwa na hali ya usalama mdogo wa raia pamoja na wageni Tanzania" jamani hili la majambazi serikali wanalionaje?