yahoo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 3,527
- 1,405
Tangu nimeanza kufatilia soka la bongo,mwaka 1990,sijawahi kusikia mchezaji kutoka yanga akishinikiza kwenda simba,bali nimeshuhudia wa simba wakingangania kuvaa uzi wa YANGA tena wakiwa kwenye kiwango cha juu,mfano,Hamisi gaga,method mogela,zamoyoni mogela,athumani idi,saidi maulidi,CALVIN YONDAN..Ngasa nae hana raha na azam,Bahanuz nae aliwachomelea simba,akawaambia nataka kuchezea timu niipendayo (yanga).Simba wamekuwa wakiambulia magalasa tu kutoka yanga,au waliofukuzwa kwa utovu wa nidhamu...