mi_mdau
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,081
- 1,353
Kwa hyo hawa wachezaji wote na wengine wengi mliowataja, mpaka wapitie chuo cha mafunzo Simba ndo wajifanye wanaijua Yanga. Nyie tambieni Ujinga ila mkikutana na chuo cha mafunzo tunawapa Stahili yenu.ramadan wasso na athuman idd