Wachezaji wengi wanaipenda Yanga!

ramadan wasso na athuman idd
Kwa hyo hawa wachezaji wote na wengine wengi mliowataja, mpaka wapitie chuo cha mafunzo Simba ndo wajifanye wanaijua Yanga. Nyie tambieni Ujinga ila mkikutana na chuo cha mafunzo tunawapa Stahili yenu.
 
Tangu nimeanza kufatilia soka la bongo,mwaka 1990,sijawahi kusikia mchezaji kutoka yanga akishinikiza kwenda simba,bali nimeshuhudia wa simba wakingangania kuvaa uzi wa YANGA tena wakiwa kwenye kiwango cha juu,mfano,Hamisi gaga,method mogela,zamoyoni mogela,athumani idi,saidi maulidi,CALVIN YONDAN..Ngasa nae hana raha na azam,Bahanuz nae aliwachomelea simba,akawaambia nataka kuchezea timu niipendayo (yanga).Simba wamekuwa wakiambulia magalasa tu kutoka yanga,au waliofukuzwa kwa utovu wa nidhamu...

Yanga ni vilaza, hamjui kukuza wachezaji. ooh tunamtaka Yondani, tunamtaka Okwi, mara kapombe. Mpaka Simba iwakuze ndo mnawajaua. Huyo Yondani mbona alivyotoka Mwanza hakutaka kwenda Yanga anayoipenda? Athuman mbona alivyotoka Dodoma hakuja Yanga anayoipenda kwanza?? Huyu mluguru Mogella mbona alicheza Simba weee ndo akaenda Yanga? George Owino, Ramadhan Waso wote hawa wanafundishwa mpira na Simba, wanaonekana wakiwa Simba mnawadanganya waseme wana mapenzi na Yanga, Simba walifuata nini???!!! Hahaaa, FIVE STAR vilaza
 
Kwa hyo hawa wachezaji wote na wengine wengi mliowataja, mpaka wapitie chuo cha mafunzo Simba ndo wajifanye wanaijua Yanga. Nyie tambieni Ujinga ila mkikutana na chuo cha mafunzo tunawapa Stahili yenu.
chuo cha mafunzo wapi ??? semba bingwa wa kombe la kinesi na kombe la mbuzi, simba ni losers.....na huyo ngasa mtamfukuza baada ya kupigwa bao na yanga...
 
chuo cha mafunzo wapi ??? semba bingwa wa kombe la kinesi na kombe la mbuzi, simba ni losers.....na huyo ngasa mtamfukuza baada ya kupigwa bao na yanga...

We bisha kishabiki tu ila habari ndo hiyo. Mifano ipo, kina Samata, okwi, kapombe, Yondani. Tegete, kigi makasi si Yanga mmewaua, bisha. Hayo mambo ya kombe la kinesi ni siasa tu, msimu uliopita mlikuwa mabingwa wa bara na kagame na mkachezea mkono.
 
We bisha kishabiki tu ila habari ndo hiyo. Mifano ipo, kina Samata, okwi, kapombe, Yondani. Tegete, kigi makasi si Yanga mmewaua, bisha. Hayo mambo ya kombe la kinesi ni siasa tu, msimu uliopita mlikuwa mabingwa wa bara na kagame na mkachezea mkono.
The Magnificient says thanks mkuu,naona inamuingia taratiiiiibu......
 
Last edited by a moderator:
¤*¨¨*¤.¸¸...¸.¤*¨¨*¤..¸¸...¸
\¸.¤* AC MILAN * *¨*¤...¸...¸
.\¸.¤*¨¨*¤.¸¸.¸.¤*¨¨*¤..¸¸...¸
..\
☻/
.▌
/ \

Forza Milan!
Milan Campione!
Forza Milan
il Milan ole…
Forza Milan!
Vinci per noi!
Forza Milan
la Sud e con te!
Ale.. ale.. ale.. ale
╔═╦═╗╔══╦╦╗╔═╦═╗
║╬║╠╝║║║║║║║╬║║║
║║║╠╗║║║║║╚╣║║║║ ╚╩╩═╝╚╩╩╩╩═╩╩╩╩╝
 
Sielewi inakuaje mtu tim unayoipenda inausika kuiadhbu,yondan huyo unaemsifia pia aliusika kuwagongeni zile tano,nakosa rojiki hapo.
 
Hata Okwi anaipenda Yanga,basi tu ni vile alipokuja Tanzania kwa mara ya kwanza entry point yake ilikuwa Simba
 
Hata Okwi anaipenda Yanga,basi tu ni vile alipokuja Tanzania kwa mara ya kwanza entry point yake ilikuwa Simba

Hahaaa, hujajicheka kweli ulipoisoma post yako?? Entry point yake ilikuwaa......?! Kwa nini sasa isiwe Yanga?! Timu anayoipenda haijulikani nje Tanzania au??! Basi Yanga itakuwa inaipenda Simba maana ndo inawakuzia vipaji.
 
Hahaaa, hujajicheka kweli ulipoisoma post yako?? Entry point yake ilikuwaa......?! Kwa nini sasa isiwe Yanga?! Timu anayoipenda haijulikani nje Tanzania au??! Basi Yanga itakuwa inaipenda Simba maana ndo inawakuzia vipaji.
Mkuu pokea thanks yangu, hawa ndala wamezidi kuongea ongea.
 
Tangu nimeanza kufatilia soka la bongo,mwaka 1990,sijawahi kusikia mchezaji kutoka yanga akishinikiza kwenda simba,bali nimeshuhudia wa simba wakingangania kuvaa uzi wa YANGA tena wakiwa kwenye kiwango cha juu,mfano,Hamisi gaga,method mogela,zamoyoni mogela,athumani idi,saidi maulidi,CALVIN YONDAN..Ngasa nae hana raha na azam,Bahanuz nae aliwachomelea simba,akawaambia nataka kuchezea timu niipendayo (yanga).Simba wamekuwa wakiambulia magalasa tu kutoka yanga,au waliofukuzwa kwa utovu wa nidhamu...

yawezekana ni kweli wewe umeanza kufuatilia mpira miaka ya karibuni lakini pia yawezekana wewe si mjuaji wa mpira na wachezaji kihivyo. Awali ya yote tambua wachezaj hawachezi kwa kufuata mapenzi bali wanacheza wa kufuata maslahii, ni wachezaji wachachesana wanaohamia timu flani sbabu tu ya mapenzi, ila wengi ubaki timu ileile hata kama siyo wanayoipenda iwapo malipo wanayopaa yatakuwa yanaridhisha

ngoja nianze kukupa mifano ya wachezaji waliohama yanga kwenda simba kufuata mapenzi na si pesa na hawa walisajiliwa almost bure kwakuwa walikuwa na mapenzi ya simba 1, ezekiel grayson 'jujuman' huyu alikuwa yanga akakata kuendelea kucheza akaamua kwenda Simba, 2, kuna mbunge wa sasa wa kilombero ccm, Abdul Mteleta , huyu naye aliondoka yanga kwenda simba kufuata mapenzi na si pesa

kuna wachezaji walioondoka yanga kwenda simba kwa pesa lakini hawa pia walikuwa na mapenzi na simba, mfano thomas kipese, steven nemes, godwin aswile, athumani china, n,k
kuna wachezaji walibaki kuchezea yanga muda mrefu lakini hawa walikuwa na mapenzi na simba, wengine hawakupata bahati ya kusajiliwa simba si kwa sababu hawakuwa wazuri bali simba walikuwepo wachezaji wazur zaidi au pesa walizokuwa wakipewa na yanga ziliwatosha mfano yusuph macho 'musso' alichezea sana yanga baadae ndo akaenda simba japo ni mpenzi mzuri wa simba, wengine ni kama ivo mapunda, shadrack nsajigwa, abdul mtiro, n,k
pia kumbuka hawa ni wachezaji ambao tunawajua lakini kumbuka hata huyu yondani pia inadaiwa ni simba kwani familia yao yote ni simba na hata yeye alipata kusea atakapokuwa yanga washabiki wanaweza kuwa na wasiwasi nae kwambaakifanya makosa anafanya kwa kuwa yeye ni simba damu
 
Tangu nimeanza kufatilia soka la bongo,mwaka 1990,sijawahi kusikia mchezaji kutoka yanga akishinikiza kwenda simba,bali nimeshuhudia wa simba wakingangania kuvaa uzi wa YANGA tena wakiwa kwenye kiwango cha juu,mfano,Hamisi gaga,method mogela,zamoyoni mogela,athumani idi,saidi maulidi,CALVIN YONDAN..Ngasa nae hana raha na azam,Bahanuz nae aliwachomelea simba,akawaambia nataka kuchezea timu niipendayo (yanga).Simba wamekuwa wakiambulia magalasa tu kutoka yanga,au waliofukuzwa kwa utovu wa nidhamu...

kaka, hivi wewe akili yako inakutuma kuwa zamoyoni mogella alienda yanga kwa kuwa ana mapenzi na yanga? kweli wewe hujui wachezaji wetu, pili zamoyoni alijiunga simba takribani mwaka 1982 na wakati anaenda yanga mwaka 1993, alikuwa na miaka 34, halafu wasema alikuwa kiwango cha juu, kwani yanga alikaa miaka mingapi? marehemu Hamis gaga 'gagarino', alienda yanga halafu alicheza misimu mingapi?
usikriri kaka, na wachezaji wengine hawasemi mapenzi yao, lakini wanaweza kuwa timu pinzani ingawa uwanjani wanafanya majukumu yao ipasavyo, mfano, kaseja anaweza kuwa yanga lakini amecheza zaidi simba na amepata mafanikio zaidi huku, mbona alipoenda yanga kwa hela nyingi iliyopata kuwa rekodi tanzania, alicheza mwaka mmoja tu kisha akarudi simba kw hela ndogo?kwa nini asibaki kwenye timu apendayo?

by the way hivi wachezaji kama ally mustapha na rashid gumbo walitoka simba kwenda yanga kwa kuwa wana mapenzi na yanga au kwa kuwa hawakuwa na namba simba wakionekana kuwa mizigo??? jibu hili swali langu
vi
 
Huo ni ushamba wa soka la bongo. eti wachezaji wengi wanapenda Yanga. Simba toka zamani hawana ujinga wa kupapatikia wachezaji wa yanga.ila yanga wana ulimbukeni huo.wakipata vipesa kidogo maendeleo yao ni kuibomoa simba.NYIE SI MNANUNUA SISI TUNATENGENEZA WENYEWE!!
 
Mjinga huyu anasahau, wachezaji muhimu na Nembo ya Yanga kama Edibilly Lunyamila, muhammed husein "mmachinga", Said mwamba 'kizota'. Athman China. Thomas kipese, Godwin Aswile "Scania," n.k walitoka Yanga wakaja Simba.Nyie watu wa Yanga acheni ulimbukeni tano bila zinawawasha bado mnatafuta pakutokea.
 
Of coz sio wachezaji tu bali hata majority ya watanganyika wanaipenda Yanga

Wanafuata pesa tu, mfano Kaseja, Makunda, Kipese, Shabani Ramadhan wote ni Simba damu but wameshachezea Yanga. Na khs mchezaji mwny kiwango mbn Kizota alikuja Simba akiwa bado kwny form? Pia Maftah aliachwa Yanga sio kwa 7bu ya kiwango bali aliachwa kwa 7bu ya tuhuma za kuifungsha Yanga dhidi ya Simba
 
Tangu nimeanza kufatilia soka la bongo,mwaka 1990,sijawahi kusikia mchezaji kutoka yanga akishinikiza kwenda simba,bali nimeshuhudia wa simba wakingangania kuvaa uzi wa YANGA tena wakiwa kwenye kiwango cha juu,mfano,Hamisi gaga,method mogela,zamoyoni mogela,athumani idi,saidi maulidi,CALVIN YONDAN..Ngasa nae hana raha na azam,Bahanuz nae aliwachomelea simba,akawaambia nataka kuchezea timu niipendayo (yanga).Simba wamekuwa wakiambulia magalasa tu kutoka yanga,au waliofukuzwa kwa utovu wa nidhamu...

get to the point now...yupo wapi chuji,mogela,yondan,bahanuz...!stil ni wa hapa hapa...kwa sababu they dont focus...hawana maono ni players ambao hawajielewi ht ukiangalia records utakubali...bt subir uone hatma ya Ngasa(ulaya) kuungana na record za kina samata,okwi hafanan na mtoto wa mtaan kama Yondan na chuji...hivyo ni wachezaj wasiojielewa ndo huondoka simba kwenda yanga...lakin si wenye uwezo wa kuona mbali kama Okwi
 
Simba ni timu ya wachovu. Yanga timu ya wazalendo.

Wazelendo ilikuw zaman kipindi cha ujamaa,sasa hivi YANGA ni ya MAFISADI..Ikiongozw na kinara aliyehusika katika karibu kila scandal kubwa ya utafunaji wa pesa ya Umma.EEH MOLA WAAMSHE MASHABIKI WA YANGA WALIOLALA WAONDOKANE NA UDHALIMU HUU!
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom