Wachezaji wa Simba wamecheza chini ya kiwango

Wachezaji wa Simba wamecheza chini ya kiwango

Sipati picha kama goli la pili alilosababisha Sajenti angesababisha mchezaji wa Simba mleta mada ambaye tunamjua fika ni shabiki kindakindaki wa Yanga angekuja na kejeli gani kwake.

Tuache aina hii ya ushabiki
 
Kwenye kiungo ya chini unamwacha kagoma unaanzisha ujinga kisa unacheza ulaya baada ya kufungwa ndo unamkumbuka kagoma poor coaching
 
Nimesikitishwa sana na matokeo Mimi kama mzalendo wa michezo nchini

Haya ndio mambo niliyoyaona Kwa viwango vya wachezaji wa Simba ....hawastahili kuitwa Tena

Kibu denisi
Mwamba Jana alikuwa ni kama mwanamasumbwi ...nguvu nyingi akili kisoda ....ule ubaya uboya aliupeleka Kwa waarabu.....Alisababisha fouls nyingi zisizo na maana

Kapombe
Poor marking+ unfit + uzee wake vimetugharimu taifa . .huku ndipo kulikuwa kichaka Cha kupitia

Appreciation
Pongezi Kwa sajent bacca, mudathiri, na job Kwa kupambana japo mistakes za watu hapo juu zimetukwamishaView attachment 3283659
Mi namshangaa kip denis anapocheza na klabu ya ubwela utadhani ameweka mota miguuni taifa staa
 
Hivi ulifikiri ungeifunga Morocco kwake?

Yaani kikosi cha Morocco kina value zaidi ya 2.8B$ dhidi ya kikosi chetu cha Tanzania chenye thamani ya 0.58B$ then tutegemee maajabu hapo

Angalia Ligi yetu, wanaoongoza ufungaji Bora, almost wote ni raia wa Kigeni
Mpira ni mipango mzee
 
Sipati picha kama goli la pili alilosababisha Sajenti angesababisha mchezaji wa Simba mleta mada ambaye tunamjua fika ni shabiki kindakindaki wa Yanga angekuja na kejeli gani kwake.

Tuache aina hii ya ushabiki
Hapana mkuu...Mimi sina timu
 
Nimesikitishwa sana na matokeo Mimi kama mzalendo wa michezo nchini

Haya ndio mambo niliyoyaona Kwa viwango vya wachezaji wa Simba ....hawastahili kuitwa Tena

Kibu denisi
Mwamba Jana alikuwa ni kama mwanamasumbwi ...nguvu nyingi akili kisoda ....ule ubaya uboya aliupeleka Kwa waarabu.....Alisababisha fouls nyingi zisizo na maana

Kapombe
Poor marking+ unfit + uzee wake vimetugharimu taifa . .huku ndipo kulikuwa kichaka Cha kupitia

Appreciation
Pongezi Kwa sajent bacca, mudathiri, na job Kwa kupambana japo mistakes za watu hapo juu zimetukwamishaView attachment 3283659
Yanga hakuna mtu fala kama wewe
 
Nimesikitishwa sana na matokeo Mimi kama mzalendo wa michezo nchini

Haya ndio mambo niliyoyaona Kwa viwango vya wachezaji wa Simba ....hawastahili kuitwa Tena

Kibu denisi
Mwamba Jana alikuwa ni kama mwanamasumbwi ...nguvu nyingi akili kisoda ....ule ubaya uboya aliupeleka Kwa waarabu.....Alisababisha fouls nyingi zisizo na maana

Kapombe
Poor marking+ unfit + uzee wake vimetugharimu taifa . .huku ndipo kulikuwa kichaka Cha kupitia

Appreciation
Pongezi Kwa sajent bacca, mudathiri, na job Kwa kupambana japo mistakes za watu hapo juu zimetukwamishaView attachment 3283659
Screenshot_2025-03-26-12-52-10-401_com.android.chrome.jpg
 
Back
Top Bottom