Wachezaji wa Simba wamecheza chini ya kiwango

Wachezaji wa Simba wamecheza chini ya kiwango

Hivi aliyesababisha penalty ni nani?Sikumbuki kama Mzize alipiga shuti lolote iwe nje ama ndani ya goli Job nae alikuwa kama Mbilikimo kwa majamaa ya Morocco

Kifupi sikuona Mchezaji toka Jamhuri ya watu wa Utopolo alichezq vzr
 
Hivi aliyesababisha penalty ni nani?Sikumbuki kama Mzize alipiga shuti lolote iwe nje ama ndani ya goli Job nae alikuwa kama Mbilikimo kwa majamaa ya Morocco

Kifupi sikuona Mchezaji toka Jamhuri ya watu wa Utopolo alichezq vzr
Uliangalia mechi huku ukiwa na ucingizi mkuu
 
Ukweli Gani we **** unaleta ushabiki wa kikuma kwenye mambo siriaz , point yako ingeeleweka na ingekua na maaana kama usingeweka ushabiki wa kikuma ulioleta
Hata mngeleta kikosi kizima.cha wachezaji wa Tanzania wa yanga tu, mlikua hamna uwezo wa kupishana na moroco iliyoingia nusu fainal kombe la Dunia ..wewe ni **** kama MAKUMA wengine... ushabiki wako wa kimaskin hautokusaidia lolote.
Vijana kama wewe ni hasara ( laana) Kwa taifa
 
kib alicheza vizuri sana kapombe na shabalala nao walicheza vizuri sana kwa kweli kwa ujumla wachezaji wetu walijitahidi ubora na ukubwa wa moroco ndio ilikuwa kikwazo kikubwa. moroko sio kipimo chetu hata kidogo
 
Nimesikitishwa sana na matokeo Mimi kama mzalendo wa michezo nchini

Haya ndio mambo niliyoyaona Kwa viwango vya wachezaji wa Simba ....hawastahili kuitwa Tena

Kibu denisi
Mwamba Jana alikuwa ni kama mwanamasumbwi ...nguvu nyingi akili kisoda ....ule ubaya uboya aliupeleka Kwa waarabu.....Alisababisha fouls nyingi zisizo na maana

Kapombe
Poor marking+ unfit + uzee wake vimetugharimu taifa . .huku ndipo kulikuwa kichaka Cha kupitia

Appreciation
Pongezi Kwa sajent bacca, mudathiri, na job Kwa kupambana japo mistakes za watu hapo juu zimetukwamishaView attachment 3283659
Inaonekana ulijamba akili ukifikiri ni jambo cha kawaida kumbe unajamba akili zikapeperushwa na upepo.
 
Nimesikitishwa sana na matokeo Mimi kama mzalendo wa michezo nchini

Haya ndio mambo niliyoyaona Kwa viwango vya wachezaji wa Simba ....hawastahili kuitwa Tena

Kibu denisi
Mwamba Jana alikuwa ni kama mwanamasumbwi ...nguvu nyingi akili kisoda ....ule ubaya uboya aliupeleka Kwa waarabu.....Alisababisha fouls nyingi zisizo na maana

Kapombe
Poor marking+ unfit + uzee wake vimetugharimu taifa . .huku ndipo kulikuwa kichaka Cha kupitia

Appreciation
Pongezi Kwa sajent bacca, mudathiri, na job Kwa kupambana japo mistakes za watu hapo juu zimetukwamishaView attachment 3283659
Nataka kujua Hemed Morocco na Juma Mgunda wana historia gani ya mafanikio kama makocha kiasi cha kuaminiwa na kupewa timu ya taifa? Au ndio siasa za awamu ya sita kila kitu ni kuwafurahisha wazanzibari
 
Back
Top Bottom