mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 6,527
- 10,538
Nani alikwambia kichaa huwa kinapona?. Huwa kinatulia Tu🤣🤣Muwe mna muambia kocha wa stars achukue wachezaji wa utopolo pekee, Tumechoka kelele zenu, hamjapona tyuuh
Nani alikwambia kichaa huwa kinapona?. Huwa kinatulia Tu🤣🤣Muwe mna muambia kocha wa stars achukue wachezaji wa utopolo pekee, Tumechoka kelele zenu, hamjapona tyuuh
Kwanini suala la uwekezaji ni muhimu kwenye hizi timu zetu.ila wabongo!?!👿 lini tutaanza kujiamini value za vikosi ni namba tu hukuona Nigeria alivolazimishwa sare na zimbabwe timu ya kawaida kabisa!!
naona sajenti wa nyuma mwiko kauza timu ya taifa stars ana goli mojaNimesikitishwa sana na matokeo Mimi kama mzalendo wa michezo nchini
Haya ndio mambo niliyoyaona Kwa viwango vya wachezaji wa Simba ....hawastahili kuitwa Tena
Kibu denisi
Mwamba Jana alikuwa ni kama mwanamasumbwi ...nguvu nyingi akili kisoda ....ule ubaya uboya aliupeleka Kwa waarabu.....Alisababisha fouls nyingi zisizo na maana
Kapombe
Poor marking+ unfit + uzee wake vimetugharimu taifa . .huku ndipo kulikuwa kichaka Cha kupitia
Appreciation
Pongezi Kwa sajent bacca, mudathiri, na job Kwa kupambana japo mistakes za watu hapo juu zimetukwamishaView attachment 3283659
Siku hizi JF ina vitoto vya hovyo sana...Nimesikitishwa sana na matokeo Mimi kama mzalendo wa michezo nchini
Haya ndio mambo niliyoyaona Kwa viwango vya wachezaji wa Simba ....hawastahili kuitwa Tena
Kibu denisi
Mwamba Jana alikuwa ni kama mwanamasumbwi ...nguvu nyingi akili kisoda ....ule ubaya uboya aliupeleka Kwa waarabu.....Alisababisha fouls nyingi zisizo na maana
Kapombe
Poor marking+ unfit + uzee wake vimetugharimu taifa . .huku ndipo kulikuwa kichaka Cha kupitia
Appreciation
Pongezi Kwa sajent bacca, mudathiri, na job Kwa kupambana japo mistakes za watu hapo juu zimetukwamishaView attachment 3283659
Kwa kweli, 😂😂😂😂Nani alikwambia kichaa huwa kinapona?. Huwa kinatulia Tu🤣🤣