Poleni sana, kuvunjika miguu yote miwili ni changamoto kubwa. Binafsi napitia changamoto hiyo ya kuvunjika mguu mmoja wa kushoto, nipo hapa mwezi wa nne sasa kazi zikiwa zimesimama.
Unadhani wote ni police wanaocheza hiyo timu?ingekuwa sio polisi ningesikitika sana.
Hivi Beti,wewe ni mtu au roboti? Sijawahi ona reply yako humu zaidi kutoa habari tuuu!! Natamani siku niuone mwandiko wakoKikosi cha timu ya Polisi Tanzania inayoshiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara kimepata ajali leo Ijumaa Julai 9, 2021 wakati kikitoka mazoezini katika Uwanja wa TPC.
Makamu mwenyekiti wa timu hiyo, Robert Munisi amesema,”kwa sasa ni mapema kuwa na taarifa ya nini kilitokea lakini kwa kifupi gari liliacha njia na kugonga mti, hivyo kwa haraka walioumia ni zaidi ya wachezaji 10 na Mathias Mdau amevunjika miguu yote miwili.”
"Dereva wetu amevunjika mbavu moja, ndio taarifa za awali ninazoweza kukueleza lakini bado naendelea kufuatilia hapa KCMC walipokuwa majeruhi na kisha nitatoa majibu kamili ya kilichotokea.”
Polisi Tanzania inashika nafasi ya saba kwenye msimamo wa ligi ikiwa na alama 42 na ilikuwa inajiandaa na mchezo dhidi ya Kagera Sugar uliopangwa kuchezwa wiki ijayo katika Uwanja wa Ushirika Moshi.
Chanzo: Mwananchi
Poleni sana, kuvunjika miguu yote miwili ni changamoto kubwa. Binafsi napitia changamoto hiyo ya kuvunjika mguu mmoja wa kushoto, nipo hapa mwezi wa nne sasa kazi zikiwa zimesimama.
Hizi chuki za kifalaingekuwa sio polisi ningesikitika sana.
@Pep sio mchezo usigegede dahPole sana mkuu.
Jamaa yetu alifanya fujo sehemu akajikuta amevunjika mguu mmoja. Amefahamishwa anatakiwa kupata bed rest ya miezi 6 then miezi 6 mingine ya mazoezi madogo madogo.
Pia Bwana Dakta ameshauri jamaa asigegede kabisa for the next 14 month kwasababu hilo litapelekea mfupa usiunge vizuri.
Terrible, ndo kwanza jamaa ana wiki ya pili
Pole mkuuPoleni sana, kuvunjika miguu yote miwili ni changamoto kubwa. Binafsi napitia changamoto hiyo ya kuvunjika mguu mmoja wa kushoto, nipo hapa mwezi wa nne sasa kazi zikiwa zimesimama.
Dah pole sana mkuu...Poleni sana, kuvunjika miguu yote miwili ni changamoto kubwa. Binafsi napitia changamoto hiyo ya kuvunjika mguu mmoja wa kushoto, nipo hapa mwezi wa nne sasa kazi zikiwa zimesimama.
Pole sana mkuu.Poleni sana, kuvunjika miguu yote miwili ni changamoto kubwa. Binafsi napitia changamoto hiyo ya kuvunjika mguu mmoja wa kushoto, nipo hapa mwezi wa nne sasa kazi zikiwa zimesimama.
Asante sana mkuu,ila hapo kwenye kugegeda pagumu sana kukaa kwa mda wote huoPole sana mkuu.
Jamaa yetu alifanya fujo sehemu akajikuta amevunjika mguu mmoja. Amefahamishwa anatakiwa kupata bed rest ya miezi 6 then miezi 6 mingine ya mazoezi madogo madogo.
Pia Bwana Dakta ameshauri jamaa asigegede kabisa for the next 14 month kwasababu hilo litapelekea mfupa usiunge vizuri.
Terrible, ndo kwanza jamaa ana wiki ya pili