Wachezaji na Staff CR Beloizdad wakatwa 80% ya mshahara baada ya kipigo cha Yanga

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
843
1,363
Kiufupi hii timu ya yanga inaendela kuleta madhara, na mfano ulikuwa baada ya simba kufungwa tano walifukuza kocha , na pia walitakwa kumfukuza chama.

Algeria: Kufuatia kipigo kikali cha bao 4-0 kwa timu ya beloizdad kutoka kwa yanga, bodi ya wakurugenzi ya klabu hiyo imetoa adhabu kali kwa wachezaji na staff , na bench la ufundi kwa ujumla ikiwa watakatwa asilimia 80% Ya mshahara wao baada ya kipigo cha aibu, kwani bodi imesema imefanya mambo yote muhimu ikiwemo kuwakodia private jate iwapeleke moja kwa moja dar lakini bado walifungwa vibaya.

Licha ya kutofukuza kocha na kutafuta mchawi kama wanavyofanyaga simba, kocha huyo wa beloizad ameambiwa aandike report ya kina na kueleza kwanini wamefungwa kwa aibu na yanga.

Link

Licha ya taarifa hiyo pia Shabiki maarufu wa Simba Ajulikanae kwa jina la Mchome Mapovu amesema Siku ya Inonga Day imempa wakati mgumu kwani hawezi kuiga staili ya Inonga ya Kupaka mkorogo kwakuwa ukipaka mkorogo hapa nchini jamii itakuchukulia vibaya
 
Kiufupi hii timu ya yanga inaendela kuleta madhara, na mfano ulikuwa baada ya simba kufungwa tano walifukuza kocha , na pia walitakwa kumfukuza chama.

Algeria: Kufuatia kipigo kikali cha bao 4-0 kwa timu ya beloizdad kutoka kwa yanga, bodi ya wakurugenzi ya klabu hiyo imetoa adhabu kali kwa wachezaji na staff , na bench la ufundi kwa ujumla ikiwa watakatwa asilimia 80% Ya mshahara wao baada ya kipigo cha aibu, kwani bodi imesema imefanya mambo yote muhimu ikiwemo kuwakodia private jate iwapeleke moja kwa moja dar lakini bado walifungwa vibaya.

Licha ya kutofukuza kocha na kutafuta mchawi kama wanavyofanyaga simba, kocha huyo wa beloizad ameambiwa aandike report ya kina na kueleza kwanini wamefungwa kwa aibu na yanga.

Link

Licha ya taarifa hiyo pia Shabiki maarufu wa Simba Ajulikanae kwa jina la Mchome Mapovu amesema Siku ya Inonga Day imempa wakati mgumu kwani hawezi kuiga staili ya Inonga ya Kupaka mkorogo kwakuwa ukipaka mkorogo hapa nchini jamii itakuchukulia vibaya
na sisi tuige mfano huu
 
Kiufupi hii timu ya yanga inaendela kuleta madhara, na mfano ulikuwa baada ya simba kufungwa tano walifukuza kocha , na pia walitakwa kumfukuza chama.

Algeria: Kufuatia kipigo kikali cha bao 4-0 kwa timu ya beloizdad kutoka kwa yanga, bodi ya wakurugenzi ya klabu hiyo imetoa adhabu kali kwa wachezaji na staff , na bench la ufundi kwa ujumla ikiwa watakatwa asilimia 80% Ya mshahara wao baada ya kipigo cha aibu, kwani bodi imesema imefanya mambo yote muhimu ikiwemo kuwakodia private jate iwapeleke moja kwa moja dar lakini bado walifungwa vibaya.

Licha ya kutofukuza kocha na kutafuta mchawi kama wanavyofanyaga simba, kocha huyo wa beloizad ameambiwa aandike report ya kina na kueleza kwanini wamefungwa kwa aibu na yanga.

Link

Licha ya taarifa hiyo pia Shabiki maarufu wa Simba Ajulikanae kwa jina la Mchome Mapovu amesema Siku ya Inonga Day imempa wakati mgumu kwani hawezi kuiga staili ya Inonga ya Kupaka mkorogo kwakuwa ukipaka mkorogo hapa nchini jamii itakuchukulia vibaya
Hii yanga italeta majanga ulimwenguni,mm nadhani ni wakt sasa yanga itangazwe kama Moja ya tishio la binadamu duniani.
 
Kunawakati ukifungwa na kitimu kidogo inatoa hasira Sana na ndio wanayoyapata CRB. Hv unafikiri wangefungwa na Simba, Mamelodi au Al ahly yangetokea hayo? Yasingetokea coz wanajua wefungwa na timu kubwa
Simba hii ya cobra na dula mbabe mixer babu said ?
 
Kunawakati ukifungwa na kitimu kidogo inatoa hasira Sana na ndio wanayoyapata CRB. Hv unafikiri wangefungwa na Simba, Mamelodi au Al ahly yangetokea hayo? Yasingetokea coz wanajua wefungwa na timu kubwa
Sababu sio kufungwa na timu ya aina gani Bali ni kitendo cha kushindwa ku qualify robo fainali. CRB ni kawaida kucheza robo fainali kila msimu ila kilichowakuta msimu huu hawaamini macho yao. Ingekuwa tatizo kufungwa na timu ndogo basi wangeanza kupunguziana mishahara walivyofungwa na Medeama, timu ambayo haina hata point moja kwenye CAF 5 years ranking
 
Sababu sio kufungwa na timu ya aina gani Bali ni kitendo cha kushindwa ku qualify robo fainali. CRB ni kawaida kucheza robo fainali kila msimu ila kilichowakuta msimu huu hawaamini macho yao. Ingekuwa tatizo kufungwa na timu ndogo basi wangeanza kupunguziana mishahara walivyofungwa na Medeama, timu ambayo haina hata point moja kwenye CAF 5 years ranking
Wasikariri eti ni kawaida kucheza robo fainali kila msimu...huku kukariri kuna timu nyingine nayo inakariri hivi hivi kwamba ni kawaida yao kucheza robo fainali...sasa likitokea la kutokea inakua lawama
 
Kunawakati ukifungwa na kitimu kidogo inatoa hasira Sana na ndio wanayoyapata CRB. Hv unafikiri wangefungwa na Simba, Mamelodi au Al ahly yangetokea hayo? Yasingetokea coz wanajua wefungwa na timu kubwa
Simba hii iliyoshinda mechi moja tu ya Kimataifa imfunge nani. Timu ambayo wachezaji wanaruka ruka tu uwanjani. Jumamosi mtakinywea kikombe.
 
Kunawakati ukifungwa na kitimu kidogo inatoa hasira Sana na ndio wanayoyapata CRB. Hv unafikiri wangefungwa na Simba, Mamelodi au Al ahly yangetokea hayo? Yasingetokea coz wanajua wefungwa na timu kubwa
Kuendekeza ujinga ni hatari sana kwa afya
 
Kunawakati ukifungwa na kitimu kidogo inatoa hasira Sana na ndio wanayoyapata CRB. Hv unafikiri wangefungwa na Simba, Mamelodi au Al ahly yangetokea hayo? Yasingetokea coz wanajua wefungwa na timu kubwa
Issue sio kufungwa ni umefungwa ngapi!? Medeana alimfunga na kwa ubora iko mbali nyuma yanga hawakufanya haya.
Simba nao walipogungwa sio nyie mlifukuza kocha, kusimamisha wachezaji nk.
 
Kunawakati ukifungwa na kitimu kidogo inatoa hasira Sana na ndio wanayoyapata CRB. Hv unafikiri wangefungwa na Simba, Mamelodi au Al ahly yangetokea hayo? Yasingetokea coz wanajua wefungwa na timu kubwa
Hawajui. Wiki hii wanaokoteza kila habari. Nilichogundua washabiki WA hii timu asilimia 80 hawajavuka STD 7. Ni aibu Kwa timu kubwa kufungwa na timu ambayo Kwa miaka 40 haijaiwahi kufika robo fainali Kwanza wakistahili kutopewa mshahara kabisa.
 
Hawajui. Wiki hii wanaokoteza kila habari. Nilichogundua washabiki WA hii timu asilimia 80 hawajavuka STD 7. Ni aibu Kwa timu kubwa kufungwa na timu ambayo Kwa miaka 40 haijaiwahi kufika robo fainali Kwanza wakistahili kutopewa mshahara kabisa.
Kwahiyo ukivuka darasa la 7 ndio unakuwaje? Period inakusumbua leo
 
Back
Top Bottom