Wachekeshaji Bora Afrika Mashariki

Wachekeshaji Bora Afrika Mashariki

Mkuu umemsahau consumator, njoro, na mamito. Aki na pilipili wakasome sana kwa vichwa hivi
Mie kwangu ni mc pilipili
Dogo pepe
Fredy ndembo
Wote ni watanzania hao
Ila prof hamo ambaye ni mkenya ananifurahisha anapoongezea na nyimbo mwishomwisho
Ila
Mc pilipili
Dogo pepe
Fredy ndembo ni hatari kwa kuchekesha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom