Wachambuzi wa soka ni chanzo kikubwa cha kusababisha kadi nyekundu

Cashman

JF-Expert Member
Jun 8, 2018
2,293
3,965
Kuongezeka kwa kadi nyekundu katika raundi tano za mwanzo wa ligi ni jambo la kusikitisha. Hali hii imekuwepo kwa sababu inachochewa sana na vyombo vya habari.

Katika hali isiyo ya kawaida, mwaka jana, timu ya prisons walikuwa wakiruka mithili wanacheza kung-fu hasa walipokutana na Simba.Hali hii ilikuwa inahatarisha sana usalama wa wachezaji na Luis akifanyiwa ukatili mkubwa uwanjani bila hata kadi kutolewa.
Wachambuzi waliita jambo hilo eti "mgongano wa kawaida kwenye mpira"

Na walienda mbali zaidi na kuwahamasisha wachezaji wa timu nyingine kucheza michezo ya rafu sana ili kuwatisha Simba na hatimaye timu hizo zipate ushindi.

Pamoja na kuwepo watu wengine wakiwa viongozi wa serikali,kutoa pesa kwa lengo la kuhakikisha baadhi ya wachezaji muhimu wanaumizwa,ili club zote zisifanye vizuri kimataifa, bado naona watu hatari zaidi ni hawa wachambuzi ambao wamepewa platform ya kuongea kwa umma na wanasifia ujinga huu. Wao kumvunja mchezaji ili upate ushindi ni kitendo cha kawaida.

Sasa kwa vile kuna chuki, kukamiana, na waamuzi kutokuwa na uwezo wa kumudu kuchezesha soka kunakotokana na ushabiki wa vilabu hivi vikubwa, hali hii imewafanya wachezaji wanaodhania wanakamiwa na hatua aghalabu kuchukuliwa, kuanza kujilinda kwa kulipiza kisasi ama kucheza mpira wa nguvu na kukamiana.

Hali hii isipokemewa itasababisha wachezaji wengi waumie, wasicheze muda wa kutosha,na hata kuwastaafisha baadhi yao kabisa katika soka.

Ingekuwa ni katika siasa kuna wachambuzi wa soka walitakiwa kuwa mahakamani kujibu tuhuma za uchochezi wa vurugu mpirani.
 
Safarihii mtamlaumu kila mdau wa soka Ila ukweli ni kuwa Simba imepoteza uwezo wake, na Kama mtaendelea kujificha kwa kuwashutumu watu wengine timu yenu inakwenda kushuka daraja na safari hii Yanga hawezi kuwa beba tena Kama alivyo fanya msimu wa 1991. Mmesajili magarasa Sasa pambaneni na Hali yenu.
 
Hii yanga yako subiri kidogo mtaanza kurudi mnalia ninyi ni wanyonge mara waamuzi mara TFF!

Tujawajua sana
Safarihii mtamlaumu kila mdau wa soka Ila ukweli ni kuwa Simba imepoteza uwezo wake, na Kama mtaendelea kujificha kwa kuwashutumu watu wengine timu yenu inakwenda kushuka daraja na safari hii Yanga hawezi kuwa beba tena Kama alivyo fanya msimu wa 1991. Mmesajili magarasa Sasa pambaneni na Hali yenu.
 
Kuongezeka kwa kadi nyekundu katika raundi tano za mwanzo wa ligi ni jambo la kusikitisha. Hali hii imekuwepo kwa sababu inachochewa sana na vyombo vya habari.

Katika hali isiyo ya kawaida, mwaka jana, timu ya prisons walikuwa wakiruka mithili wanacheza kung-fu hasa walipokutana na Simba.Hali hii ilikuwa inahatarisha sana usalama wa wachezaji na Luis akifanyiwa ukatili mkubwa uwanjani bila hata kadi kutolewa.
Wachambuzi waliita jambo hilo eti "mgongano wa kawaida kwenye mpira"

Na walienda mbali zaidi na kuwahamasisha wachezaji wa timu nyingine kucheza michezo ya rafu sana ili kuwatisha Simba na hatimaye timu hizo zipate ushindi.

Pamoja na kuwepo watu wengine wakiwa viongozi wa serikali,kutoa pesa kwa lengo la kuhakikisha baadhi ya wachezaji muhimu wanaumizwa,ili club zote zisifanye vizuri kimataifa, bado naona watu hatari zaidi ni hawa wachambuzi ambao wamepewa platform ya kuongea kwa umma na wanasifia ujinga huu. Wao kumvunja mchezaji ili upate ushindi ni kitendo cha kawaida.

Sasa kwa vile kuna chuki, kukamiana, na waamuzi kutokuwa na uwezo wa kumudu kuchezesha soka kunakotokana na ushabiki wa vilabu hivi vikubwa, hali hii imewafanya wachezaji wanaodhania wanakamiwa na hatua aghalabu kuchukuliwa, kuanza kujilinda kwa kulipiza kisasi ama kucheza mpira wa nguvu na kukamiana.

Hali hii isipokemewa itasababisha wachezaji wengi waumie, wasicheze muda wa kutosha,na hata kuwastaafisha baadhi yao kabisa katika soka.

Ingekuwa ni katika siasa kuna wachambuzi wa soka walitakiwa kuwa mahakamani kujibu tuhuma za uchochezi wa vurugu mpirani.
Game ya Simba vs Namungo Morrison kampiga mtu kiwiko same to Bocco zilikua straight red cards unasemaje hapo mchambuzi
 
Kuongezeka kwa kadi nyekundu katika raundi tano za mwanzo wa ligi ni jambo la kusikitisha. Hali hii imekuwepo kwa sababu inachochewa sana na vyombo vya habari.

Katika hali isiyo ya kawaida, mwaka jana, timu ya prisons walikuwa wakiruka mithili wanacheza kung-fu hasa walipokutana na Simba.Hali hii ilikuwa inahatarisha sana usalama wa wachezaji na Luis akifanyiwa ukatili mkubwa uwanjani bila hata kadi kutolewa.
Wachambuzi waliita jambo hilo eti "mgongano wa kawaida kwenye mpira"

Na walienda mbali zaidi na kuwahamasisha wachezaji wa timu nyingine kucheza michezo ya rafu sana ili kuwatisha Simba na hatimaye timu hizo zipate ushindi.

Pamoja na kuwepo watu wengine wakiwa viongozi wa serikali,kutoa pesa kwa lengo la kuhakikisha baadhi ya wachezaji muhimu wanaumizwa,ili club zote zisifanye vizuri kimataifa, bado naona watu hatari zaidi ni hawa wachambuzi ambao wamepewa platform ya kuongea kwa umma na wanasifia ujinga huu. Wao kumvunja mchezaji ili upate ushindi ni kitendo cha kawaida.

Sasa kwa vile kuna chuki, kukamiana, na waamuzi kutokuwa na uwezo wa kumudu kuchezesha soka kunakotokana na ushabiki wa vilabu hivi vikubwa, hali hii imewafanya wachezaji wanaodhania wanakamiwa na hatua aghalabu kuchukuliwa, kuanza kujilinda kwa kulipiza kisasi ama kucheza mpira wa nguvu na kukamiana.

Hali hii isipokemewa itasababisha wachezaji wengi waumie, wasicheze muda wa kutosha,na hata kuwastaafisha baadhi yao kabisa katika soka.

Ingekuwa ni katika siasa kuna wachambuzi wa soka walitakiwa kuwa mahakamani kujibu tuhuma za uchochezi wa vurugu mpirani.
Hao wachambuzi uchwara wote wako kwenye payroll ya GSM.
 
Kuongezeka kwa kadi nyekundu katika raundi tano za mwanzo wa ligi ni jambo la kusikitisha. Hali hii imekuwepo kwa sababu inachochewa sana na vyombo vya habari.

Katika hali isiyo ya kawaida, mwaka jana, timu ya prisons walikuwa wakiruka mithili wanacheza kung-fu hasa walipokutana na Simba.Hali hii ilikuwa inahatarisha sana usalama wa wachezaji na Luis akifanyiwa ukatili mkubwa uwanjani bila hata kadi kutolewa.
Wachambuzi waliita jambo hilo eti "mgongano wa kawaida kwenye mpira"

Na walienda mbali zaidi na kuwahamasisha wachezaji wa timu nyingine kucheza michezo ya rafu sana ili kuwatisha Simba na hatimaye timu hizo zipate ushindi.

Pamoja na kuwepo watu wengine wakiwa viongozi wa serikali,kutoa pesa kwa lengo la kuhakikisha baadhi ya wachezaji muhimu wanaumizwa,ili club zote zisifanye vizuri kimataifa, bado naona watu hatari zaidi ni hawa wachambuzi ambao wamepewa platform ya kuongea kwa umma na wanasifia ujinga huu. Wao kumvunja mchezaji ili upate ushindi ni kitendo cha kawaida.

Sasa kwa vile kuna chuki, kukamiana, na waamuzi kutokuwa na uwezo wa kumudu kuchezesha soka kunakotokana na ushabiki wa vilabu hivi vikubwa, hali hii imewafanya wachezaji wanaodhania wanakamiwa na hatua aghalabu kuchukuliwa, kuanza kujilinda kwa kulipiza kisasi ama kucheza mpira wa nguvu na kukamiana.

Hali hii isipokemewa itasababisha wachezaji wengi waumie, wasicheze muda wa kutosha,na hata kuwastaafisha baadhi yao kabisa katika soka.

Ingekuwa ni katika siasa kuna wachambuzi wa soka walitakiwa kuwa mahakamani kujibu tuhuma za uchochezi wa vurugu mpirani.
Tamzania nzima wachambuzi wa soka wa kweli kweli yaan wana fanya for passion

1. Dr LIKI ABDALLAH huyu mzee anachambua soka for passion yaan alikuwa humsikii redio kila kukicha , hawa wasasa wengi ni kazi yaan wameajirowa so ili kutimiza majukumu ili tarehe isome na mwisho wa mwezi Aka withdraw basi humpasa achambu chambie tu vya ukweli mdani vya uongo ndani yaan fujo tupu ..mfano mdogo tu ni huyu mzee wa kudere yaan uongoo mwingiiii
 
Game ya Simba vs Namungo Morrison kampiga mtu kiwiko same to Bocco zilikua straight red cards unasemaje hapo mchambuzi
Kibu Dennis alipigwa teke la Shingoni mbele ya refa na hakuna Kadi wala onyo lililotolewa na mwamuzi.
We ulikuwa unaangalia rafu za Simba tu
 
Kuongezeka kwa kadi nyekundu katika raundi tano za mwanzo wa ligi ni jambo la kusikitisha. Hali hii imekuwepo kwa sababu inachochewa sana na vyombo vya habari.

Katika hali isiyo ya kawaida, mwaka jana, timu ya prisons walikuwa wakiruka mithili wanacheza kung-fu hasa walipokutana na Simba.Hali hii ilikuwa inahatarisha sana usalama wa wachezaji na Luis akifanyiwa ukatili mkubwa uwanjani bila hata kadi kutolewa.
Wachambuzi waliita jambo hilo eti "mgongano wa kawaida kwenye mpira"

Na walienda mbali zaidi na kuwahamasisha wachezaji wa timu nyingine kucheza michezo ya rafu sana ili kuwatisha Simba na hatimaye timu hizo zipate ushindi.

Pamoja na kuwepo watu wengine wakiwa viongozi wa serikali,kutoa pesa kwa lengo la kuhakikisha baadhi ya wachezaji muhimu wanaumizwa,ili club zote zisifanye vizuri kimataifa, bado naona watu hatari zaidi ni hawa wachambuzi ambao wamepewa platform ya kuongea kwa umma na wanasifia ujinga huu. Wao kumvunja mchezaji ili upate ushindi ni kitendo cha kawaida.

Sasa kwa vile kuna chuki, kukamiana, na waamuzi kutokuwa na uwezo wa kumudu kuchezesha soka kunakotokana na ushabiki wa vilabu hivi vikubwa, hali hii imewafanya wachezaji wanaodhania wanakamiwa na hatua aghalabu kuchukuliwa, kuanza kujilinda kwa kulipiza kisasi ama kucheza mpira wa nguvu na kukamiana.

Hali hii isipokemewa itasababisha wachezaji wengi waumie, wasicheze muda wa kutosha,na hata kuwastaafisha baadhi yao kabisa katika soka.

Ingekuwa ni katika siasa kuna wachambuzi wa soka walitakiwa kuwa mahakamani kujibu tuhuma za uchochezi wa vurugu mpirani.
Tanzania ina Wachambuzi wa Soka?
 
Hii yanga yako subiri kidogo mtaanza kurudi mnalia ninyi ni wanyonge mara waamuzi mara TFF!

Tujawajua sana
Yanga ya msimu huu haiwezi kumlilia mwamuzi au TFF ya Karia! Yanga ya msimu huu ni ya kutembeza tu vichapo. Kuanzia ngao ya jamii mpaka mwishoni mwa msimu, ni kichapo tu kwa yeyote atakaye jipendekeza.
 
Muda ni Hakimu mzuri.Tunawafahamu..
Yanga ya msimu huu haiwezi kumlilia mwamuzi au TFF ya Karia! Yanga ya msimu huu ni ya kutembeza tu vichapo. Kuanzia ngao ya jamii mpaka mwishoni mwa msimu, ni kichapo tu kwa yeyote atakaye jipendekeza.
 
Back
Top Bottom