DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 8,610
- 17,837
Refareee Jesús Gil Manzano amemuonesha kadi nyekundu Mchezaji wa Real Madrid Jude Bellingham kwenye mechi iliyokuwa inachezwa kati ya Real Madrid na Valencia.
Mzozo Huo ulitokea baada ya Refa kumaliza Mchezo wakati mpira Ulikuwa Hewani na baada ya mpira kutua ukatua Nyavuni na Refa kukataa Goli hilo na ndipo Mchezaji huyo akatoa maneno yaliyomchukiza Refa.
Bila kujali kuwa mchezo umeisha akampachika Kadi nyekundu..
Kwa wachambuzi na Waelewa hii kitu iko sawa kweli
Mzozo Huo ulitokea baada ya Refa kumaliza Mchezo wakati mpira Ulikuwa Hewani na baada ya mpira kutua ukatua Nyavuni na Refa kukataa Goli hilo na ndipo Mchezaji huyo akatoa maneno yaliyomchukiza Refa.
Bila kujali kuwa mchezo umeisha akampachika Kadi nyekundu..
Kwa wachambuzi na Waelewa hii kitu iko sawa kweli