2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,980
- 4,451
Yani jana nimeishushia hadhi sana hii radio hasa kipindi cha michezo.
Binafsi sina ujuzi wowote wa kuchambua mpira lakini game ya jana kati ya Barca na PSG nilijua kabisa Barca anakufa, jambo la kushangaza kila mchambuzi akadai PSG hana pa kutokea kwa Barcelona.
Wachambuzi kama hawa wamaweza kwenda BBC kweli kwa ushabiki wao badala ya kuangalia vikosi? Kwanini waiuwe PSG moja kwa moja badala ya kusema game itakuwa ngumu?
Bado Edo Kumwembe na George Ambangile watatawala sana kwenye uchambuzi sio hawa wanazi na mashabiki.
Binafsi sina ujuzi wowote wa kuchambua mpira lakini game ya jana kati ya Barca na PSG nilijua kabisa Barca anakufa, jambo la kushangaza kila mchambuzi akadai PSG hana pa kutokea kwa Barcelona.
Wachambuzi kama hawa wamaweza kwenda BBC kweli kwa ushabiki wao badala ya kuangalia vikosi? Kwanini waiuwe PSG moja kwa moja badala ya kusema game itakuwa ngumu?
Bado Edo Kumwembe na George Ambangile watatawala sana kwenye uchambuzi sio hawa wanazi na mashabiki.