Wachambuzi wote wa soka la bongo hawana tofauti na Baba Levo

1979Magufuli

JF-Expert Member
Feb 20, 2023
439
1,756
Sasa hebu fikiria hadi Baba levo naye anachambua mpira akiwa na Oscar Oscar na Ed Kumwembe, Oscar wakati tunaangalia fainal ya Simba vs Stella Abidjan hakuwepo mjini, alikuwa mdogo akihangaika na masomo huko Tabora, Kitenge simbishii kwa sababu 1993 nilimuona uwanjani yeye Bin zubeir na hata Salehe jembe, hao wakiongea siwabishii.Mwingine ni Ibra Masoud

Hata Haji Manara simbishii kwa sababu anajua mpira ingawa sio mwendaji sana uwanjani, hao wanaweza kuchambua mpira ukawasikiliza, lakini Shaffih, Edo, Geoffrey, Ambangile, cjui Prisca, hao hawana tofauti na Baba levo.

Baba levo anachambua mpira akiwa Wasafi na watu wanamsikiliza, jamani, jamani.

Eti Simba kumkazia Al Ahly basi imeonekana Al ahly ameshuka kiwango, yaani Simba haina uwezo wa kushindana na Al Ahly, halafu kweli jamani mnapoteza muda wenu kuwasikiliza wahuni hao, hao sio wachambuzi ni wahuni kabisa kabisa.
 
Nikisikiliza, jinsi watangazaji wetu wanavyochambua soka, huwa, nasikitika sana,
Richa ya kuwa sio mpenzi wa mpira,lakini jamaa, wana uelewa mdogo Sana wa Mambo, wanazungumza vitu vya kawaida mno, kiwango cha dalasa LA kwanza,
Wanajua kusema, "pale, ilibidi afanye hv, ili afunge gori" Hawawezi, kuhusisha mpira na uchumi, siasa, elimu, wanachezea eneo la mpira kama social activity! Tu hakuna zaidi.
 
Sasa hebu fikiria hadi Baba levo naye anachambua mpira akiwa na Oscar Oscar na Ed Kumwembe, Oscar wakati tunaangalia fainal ya Simba vs Stella Abidjan hakuwepo mjini, alikuwa mdogo akihangaika na masomo huko Tabora, Kitenge simbishii kwa sababu 1993 nilimuona uwanjani yeye Bin zubeir na hata Salehe jembe, hao wakiongea siwabishii.Mwingine ni Ibra Masoud

Hata Haji Manara simbishii kwa sababu anajua mpira ingawa sio mwendaji sana uwanjani, hao wanaweza kuchambua mpira ukawasikiliza, lakini Shaffih, Edo, Geoffrey, Ambangile, cjui Prisca, hao hawana tofauti na Baba levo.

Baba levo anachambua mpira akiwa Wasafi na watu wanamsikiliza, jamani, jamani.

Eti Simba kumkazia Al Ahly basi imeonekana Al ahly ameshuka kiwango, yaani Simba haina uwezo wa kushindana na Al Ahly, halafu kweli jamani mnapoteza muda wenu kuwasikiliza wahuni hao, hao sio wachambuzi ni wahuni kabisa kabisa.
Angalia huyu mlimbwende hapa eti naye mchambuzi. Yaani Wasafi FM imekuwa kitengo cha propaganda cha utopolo
FB_IMG_1698229037916.jpg
 
Nikisikiliza, jinsi watangazaji wetu wanavyochambua soka, huwa, nasikitika sana,
Richa ya kuwa sio mpenzi wa mpira,lakini jamaa, wana uelewa mdogo Sana wa Mambo, wanazungumza vitu vya kawaida mno, kiwango cha dalasa LA kwanza,
Wanajua kusema, "pale, ilibidi afanye hv, ili afunge gori" Hawawezi, kuhusisha mpira na uchumi, siasa, elimu, wanachezea eneo la mpira kama social activity! Tu hakuna zaidi.
Kifupi hao ni washabiki wa timu na si wachambuzi wa mpira wa miguu.
FB_IMG_1698229037916.jpg
 
Ukiona hivi ujue kuna timu ya mtu imeongelewa kwa mabaya...Aliyesema kuujua na kuufuatilia mpira ni mpaka ungekuwepo uwanjani mwaka1993 ni nani?.Kwahiyo uchambuzi wa Bin Kazumari ndio unaona una mashiko?,kabisa kabisaaa???.
Pamoja na ukanjanja wa wengi wa wachambuzi wetu ila kuna wachache wanaouongea mpira kwa weledi mkubwa sana ingawa kinachotumaliza ni ushabiki,siku akiisema vibaya timu yako hata kwa ukweli basi ndio siku hiyohiyo anageuka kua kanjanja kwa mtazamo wako.By the way kuna tofauti kubwa kati ya uchambuzi na kuongelea mpira tu generally,wanachofanya akina Baba Levo kwa nilivyowasikia ni kuongelea tu mpira tena kishabiki zaidi.
 
Hawa wachambuzi siwezi kuwasikiliza, wengi wanajifanya wachambuaji baada ya kuona mpira unavyozungumziwa na Kila mtu. Nashangaa Shaffi anapojifanya mwasisi wa ndondo wakati ndondo zimeanza muda mrefu Sana. Huyo Eddo Kumwembe akianza kuongelea kocha yoyote au mchezaji yoyote maarufu utasikia anasema rafiki yangu. Kitenge anaweza kuwazidi sababu baba take nasikia aliwahi kuchezwa yanga na pia alikuwa anaishi maeneo ya uwanja wa Taifa. Wengine wore ni watu wanaotafuta umaarufu kupitia mpira.
 
Hawa wachambuzi siwezi kuwasikiliza, wengi wanajifanya wachambuaji baada ya kuona mpira unavyozungumziwa na Kila mtu. Nashangaa Shaffi anapojifanya mwasisi wa ndondo wakati ndondo zimeanza muda mrefu Sana. Huyo Eddo Kumwembe akianza kuongelea kocha yoyote au mchezaji yoyote maarufu utasikia anasema rafiki yangu. Kitenge anaweza kuwazidi sababu baba take nasikia aliwahi kuchezwa yanga na pia alikuwa anaishi maeneo ya uwanja wa Taifa. Wengine wore ni watu wanaotafuta umaarufu kupitia mpira.
Kama pale Wasafi FM lile ni kundi la mashabiki wa Yanga hakuna mchambuzi wa mpira wa miguu pale,kidooogo Ambangile anaficha uyanga wake
 
Sifa moja ya mchambuzi hupaswi kuwa biased (kuegemea upande mmoja zaidi).

Kibongo bongo kwa sasa wachambuzi ni mashabiki wa timu zao husika na wanachoita uchambuzi mara nyingi ni kukandia timu moja dhidi ya nyingine bila ya kuwa na supporting facts.

Oscar Oscar in particular sio mchambuzi bali ni mjuaji, huwa tunawaita 'much know'.
Oscar ni ile design ya watu asieruhusu topic impite bila kutia mdomo wake hata kama hana anachokijua kuhusiana na hiyo topic.
Ogopa sana mtu anaeanza na kila sentensi yake na neno 'Unajua' mara nyingi huwa ni mbumbumbumbu wa mwisho.

Baba Levo anajulikana kuwa ni bwaku bwaku. Anatumia tumbo lake kufikiria, upande wenye maslahi ndipo 'atakapochambua' vizuri.

Kwa kifupi Tanzania kila tasnia imenajisiwa na wepesi wa kuwa na hadhira ya kila mjinga kuweza kusikika.
 
Sasa hebu fikiria hadi Baba levo naye anachambua mpira akiwa na Oscar Oscar na Ed Kumwembe, Oscar wakati tunaangalia fainal ya Simba vs Stella Abidjan hakuwepo mjini, alikuwa mdogo akihangaika na masomo huko Tabora, Kitenge simbishii kwa sababu 1993 nilimuona uwanjani yeye Bin zubeir na hata Salehe jembe, hao wakiongea siwabishii.Mwingine ni Ibra Masoud

Hata Haji Manara simbishii kwa sababu anajua mpira ingawa sio mwendaji sana uwanjani, hao wanaweza kuchambua mpira ukawasikiliza, lakini Shaffih, Edo, Geoffrey, Ambangile, cjui Prisca, hao hawana tofauti na Baba levo.

Baba levo anachambua mpira akiwa Wasafi na watu wanamsikiliza, jamani, jamani.

Eti Simba kumkazia Al Ahly basi imeonekana Al ahly ameshuka kiwango, yaani Simba haina uwezo wa kushindana na Al Ahly, halafu kweli jamani mnapoteza muda wenu kuwasikiliza wahuni hao, hao sio wachambuzi ni wahuni kabisa kabisa.
Nyie mnaojua mpira ndo mnaowapa kichwa wachambuzi. Hamtaki kusifu vya kwenu Kwa vile siyo Timu unayoshanikia. Nawakubali mashabiki wanaotoa maoni Kwa kufuata uhalisia na si mkumbo na ushabiki. Yanga alipomtoa Al Hilal zilitafutwa sababu Kwa nini kamtoa ikaonekana ni Kwa sababu kwao kuna vita. Yaani Leo timu ya Urusi ikicheza na Lethoto uwanja wa Camp Nou tutarajie tutarajie Urusi Kula kichapo. Simba walipowatoa Wazambia ikaonekana imepambana na timu Kali Sana ndo maana matokeo yakasare kotekote. Mechi zote 2 Simba kacheza vizuri Sana, Kwa sababu mbali ya kutoonyesha umiliki mkubwa lakini alicheza Kwa malengo na yakatimia japo hakufuzu nusu fainali. Ghafla wamejitokeza mnaowaita wachambuzi (sioni tofauti yao na mashabiki wa kawaida) na kuchambua udhaifu wa Al Ahly na ligi ya Misri ili kuonyesha kiwango cha Simba si lolote.
Kwa anayejua soka hawezi kuacha kuisifu Simba Kwa upinzani ilioonyesha dhidi ya Ahly lakini wengi wanachambua kishabiki. Anayesifu anasifu kishabiki, anayekosoa anakosoa kishabiki.
Msiwalaumu hao mnaowaita wachambuzi wenu pale wanapotoa maoni msiyoyapenda maana wanapotoa maoni hasi dhidi ya msiowapenda mnawaunga mkono kishabiki.
 
Ukiona hivi ujue kuna timu ya mtu imeongelewa kwa mabaya...Aliyesema kuujua na kuufuatilia mpira ni mpaka ungekuwepo uwanjani mwaka1993 ni nani?.Kwahiyo uchambuzi wa Bin Kazumari ndio unaona una mashiko?,kabisa kabisaaa???.
Pamoja na ukanjanja wa wengi wa wachambuzi wetu ila kuna wachache wanaouongea mpira kwa weledi mkubwa sana ingawa kinachotumaliza ni ushabiki,siku akiisema vibaya timu yako hata kwa ukweli basi ndio siku hiyohiyo anageuka kua kanjanja kwa mtazamo wako.By the way kuna tofauti kubwa kati ya uchambuzi na kuongelea mpira tu generally,wanachofanya akina Baba Levo kwa nilivyowasikia ni kuongelea tu mpira tena kishabiki zaidi.
Hakuna Mchambuzi anaitwa Bin Kazumari. Yule ni shabiki tu kama Mzee Mpili wa Yanga au Mzee Mazrui wa Simba.
 
Kama pale Wasafi FM lile ni kundi la mashabiki wa Yanga hakuna mchambuzi wa mpira wa miguu pale,kidooogo Ambangile anaficha uyanga wake
Biased opinion. Wewe mwenyewe huna tofauti na hao upande wa Simba. Leta comment yako hata moja ukiongelea uimara wa Mpinzani wako zaidi ya kubatiza timu nyingine kuwa matawi ya Mpinzani wako.
 
Nyie mnaojua mpira ndo mnaowapa kichwa wachambuzi. Hamtaki kusifu vya kwenu Kwa vile siyo Timu unayoshanikia. Nawakubali mashabiki wanaotoa maoni Kwa kufuata uhalisia na si mkumbo na ushabiki. Yanga alipomtoa Al Hilal zilitafutwa sababu Kwa nini kamtoa ikaonekana ni Kwa sababu kwao kuna vita. Yaani Leo timu ya Urusi ikicheza na Lethoto uwanja wa Camp Nou tutarajie tutarajie Urusi Kula kichapo. Simba walipowatoa Wazambia ikaonekana imepambana na timu Kali Sana ndo maana matokeo yakasare kotekote. Mechi zote 2 Simba kacheza vizuri Sana, Kwa sababu mbali ya kutoonyesha umiliki mkubwa lakini alicheza Kwa malengo na yakatimia japo hakufuzu nusu fainali. Ghafla wamejitokeza mnaowaita wachambuzi (sioni tofauti yao na mashabiki wa kawaida) na kuchambua udhaifu wa Al Ahly na ligi ya Misri ili kuonyesha kiwango cha Simba si lolote.
Kwa anayejua soka hawezi kuacha kuisifu Simba Kwa upinzani ilioonyesha dhidi ya Ahly lakini wengi wanachambua kishabiki. Anayesifu anasifu kishabiki, anayekosoa anakosoa kishabiki.
Msiwalaumu hao mnaowaita wachambuzi wenu pale wanapotoa maoni msiyoyapenda maana wanapotoa maoni hasi dhidi ya msiowapenda mnawaunga mkono kishabiki.
Kusema kweli hatuna wachambuzi wa mpira ila kuna washabiki wa timu za Simba na Yanga wanakaa nyuma ya microphone na kuanza kuchamba timu wasiyoitaka na kusifia timu zao hata kama zimefanya vibaya.
 
Biased opinion. Wewe mwenyewe huna tofauti na hao upande wa Simba. Leta comment yako hata moja ukiongelea uimara wa Mpinzani wako zaidi ya kubatiza timu nyingine kuwa matawi ya Mpinzani wako.
Mimi siyo mchambuzi wa mpira tofauti na wale wako kwenye vyombo vya habari ambavyo kitaaluma vinahitaji kutoegemea upande wowote. Hapa mara nyingi tunacharurana kishabiki tu mtu akikukera na wewe unamkera zaidi na hii ni kama burudani na ndiyo utani wenyewe. Nyumamwiko relax.
 
Maisha ya kina baba levo ndio levo ya maisha ya mtanzania
Hakuna cha kuelewa ilimradi uwe mbishi tu uashinde wenzako na kuchekesha kdamnasi
Hapo utapata unachoitji kama uteukiwe uwe afisa flani utaupata
Yaan janja janja nyingi tu bongo unaishi
Ukitaka kujua mtu kama uyo mkabidhi kampuni yoyote inayopiha hatua kimaendeleo, mwache akayo nayo mwaka tu,
Utkuta imefirisika
Bongo janja janja mingi kichwanj hamna kitu
Eti mchambuzi anauchambua mpira yaan kama anakuelekeza ulivyochezwa na kufungwa ama kufunga
Hana mbdala
 
Nikisikiliza, jinsi watangazaji wetu wanavyochambua soka, huwa, nasikitika sana,
Richa ya kuwa sio mpenzi wa mpira,lakini jamaa, wana uelewa mdogo Sana wa Mambo, wanazungumza vitu vya kawaida mno, kiwango cha dalasa LA kwanza,
Wanajua kusema, "pale, ilibidi afanye hv, ili afunge gori" Hawawezi, kuhusisha mpira na uchumi, siasa, elimu, wanachezea eneo la mpira kama social activity! Tu hakuna zaidi.
sio richa,ni licha
 
Back
Top Bottom