Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

i
huyo mzaramo ameajiriwa na baba mkwe wake hapo.

Kujikwamua hapo vipi ?
Kmmk hio kweli nzi kufia kwenye kidonda. Au nyuki kutua kwenye makende. Ukijifanya mjuaji lazma unjoy show.

True love never bado ipo mkuu! Jamaa aoe tu aendelee kupata jeki ya maisha.
 
Wala sijakushambulia Una inferiority tu... mafanikio yana bahati pia sijui wewe unazungumzia mafanikio yapi ! Yes working hard lazima ila mwisho wa siku unaweza ku workhard ukaishia mafanikio ya kawaida tu ya kuendesha maisha labda kwako pia ni mafanikio... Sio mbaya pia
Maana hayo mafanikio yako sijui yamemfikia tajiri yupi na huyo mke wako wa kichaga...
Jamii za kaarabu wakezao nao ni wachaga ! Na wake zao hawafanyi kazi yoyote zaidi ya kulea na kupika tu na waume zao matajiri mabiashara makubwa
Nita quote sentensi mbili kutoka kwenye statement yako.
"Unaweza ku work hard na ukaishia mafanikio ya kawaida tu"
Hapa ndipo strategy inapo play part. Kama kuwork hard kungeleta mafanikio.. punda angekuwa mnyama tajiri sana.
At one time nili visit germany.. mjeruman mmoja akaniambia power without control is nothing.

"Pili jamii za kiarabu wake zao si wachaga"
Yes ni kweli.. wao ni waarabu sisi ni watu weusi. Wao wana utajiri wa visima vya mafuta sisi tuna utajiri upi?

Kila jamii ina tamaduni zake. waarabu na sisi hatuwezi fanana. Huwez uka apply principal za kiarabu kwenye jamii yetu.. wala wao hawawez kuishi principals za jamii yetu. Kwanini? Simple.. mazingira na fursa.

And yes again wake za kichaga watawatoa wapi wakati uarabuni hawapatikan wanapatikana kwetu?
Hoja yako ni so invalid.

And mwisho. Bado naona umenia attack indirect.. kwa kustate "mke wako wa kichaga" secondly " utajiri wako umefikia tajiri yupi hapa bongo"
While nisingependa ku disclose personal informations about my life na identity yangu.
Niseme tu si lazima umfikie bakhresa au mo ndio uwe tajiri? Unaweza kuwa tajir mwenye mali nyingi tu na ukajulikana mjini. Japo si level za akina Mo.
 
Kila mtu anaoa kwa sababu zake muhimi kwa mfano hauwezi jua mtoa post ana mafanikio kwa kiwango gami , unaweza kuta ana billions zipo benki na bado makampuni lukuki yanapiga kazi 24/7 sasa akioa ataoa kwa ajili ya maendeleo yapi hayo? Je kama anataka mwanamke mwenye chura+feni+ awe na mvuto ili jamaa aweze kufurahia utajiri wake kwa amani?
Usiwe na mawazo mafupi mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Si mawazo mafupi. Just my ideas.
Yes uko right ktk sehem moja. Kuwa kila mtu ana machaguo yake yes..
Lakin kama yeye wake wa kichaga hawapendi.. basi asifanye wote wanaonekane wabaya..just because yeye hapendi.
There is thin redline between idea zetu na projection za idea zetu wenyewe.
 
i
Kmmk hio kweli nzi kufia kwenye kidonda. Au nyuki kutua kwenye makende. Ukijifanya mjuaji lazma unjoy show.

True love never bado ipo mkuu! Jamaa aoe tu aendelee kupata jeki ya maisha.
Kashaoa na wana watoto wanne tayari
 
Naona unatumia kila njia ili ku justify uvivu wako , damn! mwanamke anatakiwa aingie ndani tena kwako na sio kwa mtu(umepanga) akute una kila kitu na bado una biashara angalau moja inayokuwana yenye kuonesha mwanga. sio anakuta unategemea kamshahara ,HUO NI ULOFA!
Ndo kama wewe sasa MVIVU mpaka ukumbushwe? Umeshindwaje kusimamia maisha yako?
N.b
Ni ulofa kukumbushwa .

Sent using Jamii Forums mobile app
mimi naona lofa ni mwanaume anaechekacheka wakati wanaume wenzake wakiwa wanajadili mambo muhimu. punguza ULOFA we jamaa mwanaume hachekicheki hovyo utakua shimeli.
 
Twende mbele turudi nyuma hilo kabila la kichaga litabaki kuwa juu sana hasa kwa wanawake wa kabila hilo, kwanini nasema wachaga wanafaa kuolewa??... Wakuu dada wakichaga wanapiga sana kazi wanajituma hawa viumbe htr, kumkuta dada wa kichaga hajishughulishi ni nadra sana. Mwanaume ukioa hilo kabila jiandae kuwa tajir soon.

Wanawake wa kichaga wanajua kupenda jaman ukimpata aliekupenda utafurahi, hawana tabia za kimalaya kama makabila mengine akitulia katulia otherwise wewe mwanaume uwe hueleweki.

mwanamke wangu ni moja alochangia mpaka nikapanga japo nilikua sina kazi na nilipanga alinipa sana moyo wa kupambana mpaka now niko vizuri.

Nimefanya research yangu nikagundua wanawake wa kichaga ndo wanaongoza kwa kuolewa why?? Wanaume tunatafuta stability kwenye ndoa na sio mbwembwe za 6x6. Tunapenda mwanamke anayejituma, nenda mavyuoni utaona dada anaeuza boxa, bikini, macava ya cm, ubuyu wengi ni wakichaga.

Tukitoa kasoro zote zingine walizonazo ila hawa viumbe wanafaa kuolewa usiangalie sijui magogo, hawako romantic, wachaga watabak kuwa juu sana hasa kwa upande wa kina dada, huo ndo ukweli.

NOTE: Wachaga hawezi kuwa na wewe kama akiona huna future yoyte hawa wanawake huwa wanaweza kuona mbeleni wewe life ako itakuaje. Utamfanyia yote ila atavumilia.
Hata hapa mjini ukitafut mke wa kuoa unakutana na wachaga.
Na ni watamu balaa
 
Hao wachagga wa wapi ambao mmeoa kwao? Nachojua mchagga kama ukoo wenu wenyewe hamnaga Line za kupiga hela ni ngumu sana kudumu nao.

Mchaga anapenda mahali penye uhakika wa pesa! Hata kama huna ila uwe na network ya kuzipata hela soon. Ukiwa kapuku mchaga utamuona iddi amini tu kwa ile harsh treatment atakayokupa.

Hawa wanawake wanaonaga ya mbele sijui akiona huelewek anasepa
 
Wangu anatokea Rombo.. Namkubali sana, sema akipiga simu nikimuuliza mzima?.. Ananijibu ninaumwa.. Nikimuuliza unaumwa nini tofauti na hela kananijibu hiyohiyo hela sema namuelewa sana huyu mrombo wangu

Warombo nao wapo vzr asee nshadate na mmoja nomaa
 
Ipo hiyo... nilwahi onyeshwa nyumba kadhaa pale Moshi, kama unaelekea RAU kushoto kwako.. zipo nyumba zina wamama na watoto pekee, inasemekana wababa WALISHATANGULIZWA MBELE ZA HAKI...

Mambo ya zaman hayo. Mfano wahehe walikuw wanakula mbwa, je bdo wanakula??? Utakuta 1/10 ndo wanakula napo bush
 
Back
Top Bottom