Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

Wachaga watabaki kuwa wake bora daima...

Mzee soma uzi vzr mbnaa umepaniki fala ww
Yes,mimi ni fala hasa...

Fala nakuelimisha

Acha kukaa hapa unajipendekeza kwa jamii isiyokuhusu unaacha kutoa uzi hata mmoja kusema mazuri ya dada na mama zako waliokuzaa na kukulea mpaka hapo ulipo,upo hapa una shabikia wengine wako unawaona wa chini

Ni upumbavu

Yes,wachagga ni wazuri kama walivyo wengine wote,sio unakaa hapa kujipendekeza kwao unaadharau damu yako iliyokuzaa!

You got no respect from us,you do not value your own women and blood,fvck you!

Sell out motherfvcker!
 
Yes,mimi ni fala hasa...

Fala nakuelimisha

Acha kukaa hapa unajipendekeza kwa jamii isiyokuhusu unaacha kutoa uzi hata mmoja kusema mazuri ya dada na mama zako waliokuzaa na kukulea mpaka hapo ulipo,upo hapa una shabikia wengine wako unawaona wa chini

Ni upumbavu

Yes,wachagga ni wazuri kama walivyo wengine wote,sio unakaa hapa kujipendekeza kwao unaadharau damu yako iliyokuzaa!

You got no respect from us,you do not value your own women and blood,fvck you!

Sell out motherfvcker!

Fala sana ww unaonekana mwisho wa siku hatujuan mind your busn.
 
Hivi ni kweli kuwa wajane wengi pia ni wanawake wa kichaga? yani waume zao wameshantangulia mbele za haki?
Jiandae na nguo za kufua kwa hii comment yako!
 
amna biasness hapo hizo ni facts kabisa. mi nimetembea na makabila mengi ila maendeleo nimepata na huyu mchaga wangu. wengine walibez sana kwenye mapenzi halafu mapenzi yanachuja na kiuno kinazoeleka na mwisho unakikinai.

huyu nimekuta automatically napata shauku ya kuwa successful zaidi, wale wengine akili iligota kitandani tu.

Ukipenda, chongo utaona kengeza!

Hao makabila mengi ulitembea nao hukuoa, ulitarajia maendeleo kwa kutembea nao tu.?

Anyway, ulishaingia ‘kingi’ ni muhimu kujifariji kuwa utashinda mchezo... piga kazi pesa zikuwe mingi kwanza ndo utaelewa.
 
Mwambie mtoto Wa Juzi Uyu..
Ngoja atafute pesa na Mchagga Uyo,Source Ya Pesa Iwe Inaeleweka.otherwise nae awe mchagga.vinginevyo rambi rambi Zita Muhusu
Ukipenda, chongo utaona kengeza!

Hao makabila mengi ulitembea nao hukuoa, ulitarajia maendeleo kwa kutembea nao tu.?

Anyway, ulishaingia ‘kingi’ ni muhimu kujifariji kuwa utashinda mchezo... piga kazi pesa zikuwe mingi kwanza ndo utaelewa.
 
Ndoa sikabila ila unaoa mtu.....ukienda buguruni utakuta malaya wa kichaga...haimaanishi wachaga wote malaya...ukienda...utakuta malaya wa kinywezi au kihaya haimaanishi wahaya wote ni wzinzi au malaya.
Nakwepa sana ku generalize mambo ...mfano wanasema wamasai au wameru sio malaya..nenda arusha nyuma ya stendi ya dar express utakuja na majibu
Mifumo ya maisha ina mengi...binadam si mnyama anabadilika badilika.
Tumeshuhudia mitandao kuna baba wa kichaga kaleta mchepuko wa kichaga nyumbani kwa mke wake...km yule mama anaweza kuwa si malaya je na huyu baba nae?je dna yenye umalaya kaitoa wapi?
Hitimisho
Mazingira na inborn characters zinamfanya mtu awe alivyo...inawezekana mmakonde wa miaka 20 ilopita si mmakonde wa miaka 50 ijayo.
Kwenye maisha wapo wanotaka pesa mali na wapo wanaotaka furaha ya maisha isiyo na migogoro .yaani akipata pesa ya ada ya watoto na ya kubadilisha mboga kwake ni maendeleo.
Upendo ina maana tofauti kwa muktadha wako tofauti hasa kwa wanye malezi tofauti...unaweza ukasema mchaga ana upendo mwingine akakuambia mmakonde au mnyamwezi au mbondei na mzigua ndo mwenye upendo.
Samahani km nimekukwaza
 
Naunga mkono hoja. Kila mtu kwente ndoa naturally ana majukumu yake. Mwanaume kazi yako ni kutafuta riziki na mwanamke ni kumfurahisha mumewe na kuihudumia familia.

Ukidevela jukumu lako ukampa mwanamke jua lazima uendeshwe tu. Vijana wengi wanaoogopa majukumu wakakimbilia kuoa wanawake wenye kazi nzuri, biashara nzuri, au kuoa kwa kigezo cha "mwanamke wa kuniletea maendeleo" wamejikuta wanapoteza uhuru wao kwa wake zao.

Na hii inajionesha wazi kwa wake wa kichaga. % kubwa ya wanaume wanaooa wachaga kwa kigezo hicho wamejikuta wamepoteza sana uanaume wao. Yani mwanamke anakupiga gear vibaya. Mwanamke ndo ana sauti kiasi kwamba hata ndugu zako kuja kwako mkeo ndo anaamua.

Nafikiri sote tuna watu tunaowajua waliooa aina hii ya wachaga na mnaona jinsi hawa wanaume wao wanavyokuwa watumwa.

Ya nini kuwa boya eti kisa mwanamke anajua kutafuta?? Wanaume tujisimamie tutafute hela, la sivyo tutaishia kuendeshwa tu

Hakika wewe unawajua wanawake vilivyo na wewe ndio mwanaume kweli kweli. Acha na hawa watoto wanaosema eti mke atakuja kukusaiddia pata maendeleo.
 
Ukipenda, chongo utaona kengeza!

Hao makabila mengi ulitembea nao hukuoa, ulitarajia maendeleo kwa kutembea nao tu.?

Anyway, ulishaingia ‘kingi’ ni muhimu kujifariji kuwa utashinda mchezo... piga kazi pesa zikuwe mingi kwanza ndo utaelewa.
jamaa anafight na "inferiority complex" yak3 ili kujipa aman kwamba kaoa mtu sahh lakn ukwel anaujua mw3nyewe
 
Back
Top Bottom