Kumwombea ni sawa na kumwombea shetani awe malaika"Wabunge wote nitashirikiana nao hata na hako kanakotokana na CHADEMA (Kasuku Bilago) katakuwemo tu, ila Buyungu siku nyingine mchague vizuri, huyu mbunge ananiomba maji kama ana uwezo si alete yeye? Miradi yote inaletwa na CCM" JPM, Kakonko, 21/07/2017.
"Zitto ni mpinzani lakini anapenda maendeleo. Na mimi nitaleta maendeleo kwa sababu mbunge wenu anachapa kazi, hachapi maneno. Tatizo la maji hapa litakuwa historia" JPM, Kigoma, 22/07/2017.
MyTake:
Wabunge wawili, tena wote wa upinzani. Mmoja anabaguliwa, anadhihakiwa, anabezwa hadharani na kuitwa "ka mbunge ka Chadema", mwingine anasifiwa na kuitwa "mchapakazi, anayependa maendeleo". Halafu mtu huyohuyo anaomba aombewe na kusema anapenda haki na usawa. Anyway Mungu yupo.!!
Lakini kwa nini mnasahau? Mbowe alishawahi kusifiwa Rais alipotembelea Hai.Tulia dawa iingie mkuu, makelele hayatosaidia jamaa ndo yuko hapo mpaka 2020
Tunaelekea kubaya sana"Wabunge wote nitashirikiana nao hata na hako kanakotokana na CHADEMA (Kasuku Bilago) katakuwemo tu, ila Buyungu siku nyingine mchague vizuri, huyu mbunge ananiomba maji kama ana uwezo si alete yeye? Miradi yote inaletwa na CCM" JPM, Kakonko, 21/07/2017.
"Zitto ni mpinzani lakini anapenda maendeleo. Na mimi nitaleta maendeleo kwa sababu mbunge wenu anachapa kazi, hachapi maneno. Tatizo la maji hapa litakuwa historia" JPM, Kigoma, 22/07/2017.
MyTake:
Wabunge wawili, tena wote wa upinzani. Mmoja anabaguliwa, anadhihakiwa, anabezwa hadharani na kuitwa "ka mbunge ka Chadema", mwingine anasifiwa na kuitwa "mchapakazi, anayependa maendeleo". Halafu mtu huyohuyo anaomba aombewe na kusema anapenda haki na usawa. Anyway Mungu yupo.!!
Kwamba wana CCM ndio walipa kodi wa Tanzania?
Hapa sasa kiongozi umenichanganya,si wanasema CCM ndiyo inayokusanya kodi au huwa sioni vizuri.Maneno ya KIBAGUZI hapo angelisema mwingine maneno kama "....... hako kanakotokana na CHADEMA (Kasuku Bilago) katakuwemo tu, ila Buyungu siku nyingine mchague vizuri, huyu mbunge ananiomba maji kama ana uwezo si alete yeye? Miradi yote inaletwa na CCM" JPM, Kakonko, 21/07/2017.
Simpingi Mtukufu Mkuu wetu wa nchi ila sitaki kuamini kwamba CCM ndio pekee wanaolipa KODI ambazo zinaleta maendeleo ya nchi yetu adhimu. MKUU ANGELIFUTA VYAMA LIBAKI LICCM PEKE YAKE ili tupate fursa za kunyamaza tukijua hakuna tena demokrasia wala katiba inayoviunda vyama na utashi wa kukosoana.