Wabunge wengine bwana....

Wabunge wengine bwana....

malimim

Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
8
Reaction score
0
Kwani alichokiongea Nyambari kinaewekana ama ameongea kwa vile amepata fulsa hiyo? Hii kweli inawezekana Kiswahili kutumika kufundishia katika nyanja zote za elimu? Kwa mtazamo wangu hatua hiyo bado hatujaifikia kwa sababu kiswahili hakina msamiati wa kutosha.
 
Si kwa sababu ana vile vitini vyake vilivochangia kushusha elimu ya Tanzania
 
Kwani alichokiongea Nyambari kinaewekana ama ameongea kwa vile amepata fulsa hiyo? Hii kweli inawezekana Kiswahili kutumika kufundishia katika nyanja zote za elimu? Kwa mtazamo wangu hatua hiyo bado hatujaifikia kwa sababu kiswahili hakina msamiati wa kutosha.

Mkuu mbona hii inafaa jukwaa la siasa?
 
Kwani alichokiongea Nyambari kinaewekana ama ameongea kwa vile amepata fulsa hiyo? Hii kweli inawezekana Kiswahili kutumika kufundishia katika nyanja zote za elimu? Kwa mtazamo wangu hatua hiyo bado hatujaifikia kwa sababu kiswahili hakina msamiati wa kutosha.

wewe ni mtaalamu wa kiswahili au lugha
wenyewe wataalam wanasema inawezekana
sasa wewe kamtaalam unapinga kwa vigezo gani?
 
Huu uzi hauna mapenzi,mahusiano wala urafiki hivyo upelekwe jukwaa husika.

Ni "Fursa" na si Fulsa
 
Huu uzi hauna mapenzi,mahusiano wala urafiki hivyo upelekwe jukwaa husika.

Ni "Fursa" na si Fulsa

Labda ana mapenzi na nchi yake na hapendi uhusiano wa elimu ya mwanae na lugha ya kiswahili.
 
Hapa tulipo kiingilishi kunatushinda na ndio maana tunashindwa kwenye interview nyingi tu na matokeo yake hatuajiriki nyumbani wala nje ya nyumbani. Ajira zetu zinachukuliwa na wakenya na nchi zingine zinazoongea kizungu vizuri. Sasa badala ya kuboresha kwanza lugha ya kiingereza bado anataka kutudidimiza .
 
siyo jukwaa lake ila nachangia kinaweza kufundishia mpaka .
 
Kiswahili kinaweza kutumika ngazi zote bila shida ila ni mapemz sana kwa nchi kama yetu kutaka itambulike kwa lugha yake kimataifa na hvyo elimu yetu itatusaidia ndano ya nchi pekee na matokeo yake ni kunyanyasika katka soko.la ajira!

tanzania bado ni masikini na tegemezi sana hivyo uwezo wake kushawishi nchi nyingine kitumia lugha yake ni mdogo pia! nchi ambazo zinauchumi mzur zinaweza hata kutoa scholarship kwa nchi zingine kupata elimu kwa lugha yao ili kuongeza wigo wa matumozi ya lugha na utamaduni wao duniani, ila kwa tz sisi ni tegemezi hatuna jeuri hiyo!

kuna kitu kingine kilicholetwa bungeni na wazir wa elimu kuhusu kuifanya elimu ya form 4 kua elimu ya msingi na ya lazima, hili nalo ni jambo jema sana ila nalo bado ni mapema sana! shule zenyewe za sec hazitoshi, walimu hakuna na wanaoishia std 7 bado ni wengi sana, vp hali itakuaje kama wote wangetakuwa kwenda sec school? Me naona serikali inatakiwa kujipanga sana ili iweze kutekeleza jambo kama hili!
 
Back
Top Bottom