Wabunge wawili wa Viti Maalum CHADEMA wahamia NCCR Mageuzi

Hilo jumba bovu halianguki tu sasa ni zaidi ya miaka 20 +, kila siku mnaimba taarabu hizo hizo?
In God we Trust
 
Sasa mbona unataka kulia?
 
Kwa chaguzi feki zinazoendelea sasa ni wazi anayetaka ubunge lazima ategemee hisani ya mungu mtu wa ccm. NCCR share yao wameshahakikishiwa kwa hiyo ni wazi wanaotaka uhakika wa kupata japo viti maalum ni ama waende ccm au waende NCCR ambao tayari wameshahaidiwa share yao.Kwa kifupi wananchi wataenda kupoteza muda kwenye kupiga kura.
 
Huo ndiyo ukweli ambao kwa wale waabudu malaika kamwe hawataki kuusikia hata kidogo maana unawavua nguo

In God we Trust
 
Kwa hiyo huyo Makene naye alimpitia huyo mama ndio akapata ubunge!!?? Upinzani ktk nchi hii bado kuna safari ndefu. Hizi tuhuma na kukurupuka za kusajili wasaliti ndio zinaharibu chama. Itachukua miaka mingi sana kwa upinzani TZ kuimarika kama wataendelea kufanya upuuzi huu unaoendelea..
1. Matumizi mabaya ya pesa za michango ya wabunge
2. Rushwa ya ngono (viti maalumu)
3. Hakuna ofisi yake
4. Matumizi mabaya ya ruzuku
5. Ukabila
6. Kusajili na kuwapa nafasi mamluki
 
Sasa wanahubiri vitu ambavyo hawawezi tekeleza full upendeleo na lengo la viti maalumu ilikuwa kuwawezesha wanawake after a term waende majimboni Sasa wao wanagawana kisa ngono, wanawake wenyewe viti maalumu ni vilaza ka hao wa CDM Kama mashangingi flani hafu empty set. Hivi viti maalumu waangaliwe wenye uwezo wengine hata kutoa hoja huwa hawajui kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HAWA NI WAKE ZA WATU, mmoja ni mke wa MAKENI, sasa sisi ma-JAJI tuwajuze tu, Jinai haifi, " Tunawaomba waende mara moja dawati la jinsia waseme walimpa lini MBOWE papuchi kama rushwa ili wateuliwe hivyo viti maalum!

Wakati wanatoa maelezo wakumbuke pia kutaja tarehe, na ikumbukwe kiila mbunge mwanamke anadai KUGAWA PAPUCHI kwa Mbowe, that means Mbowe ni zaidi ya FARU JOHN!

Na, waume zao , akianzia Makene , ajue amegongewwa mke na Mbowe!

Wakati wanaripoti wajue "viti maalum" havina mana tena maana kwanza wenyewe hata ilikuwa haijulikani kama wapogo, na japo wamehongwa hio ml 200 wahamie NCCR, na fedha zimetoka CCM lakini wameaibisha NYUCHI na wanawake kiasi kwamba WASOMI WENGI WATAOGOPA KUINGA KWENYE SIASA WAKIJUA LAZMA UVUE CHUPI kumbe ni maneno waliyoandikiwa na MATAGA wa LUMUMBA kumchafu MBOWE.
 
Huyu mwanamke kapigwa miti miaka 5 kaufyata kimyaaa anafaudu tunda ,leo kumekucha tena ndio anatowa siri ya chumbani, huu ni ujinga wa kutupwa ,
kama
Kule Marekani Kuna Kahaba mmoja vilevile anadai mgombea wa democrat dhidi ya Trump kuwa alimnyanyasa kingono miaka mingi iliyopita tangu wangali vijana,

Leo lile limama lisha zeeka ,ndio linatowa madai hayo.

Sasa Ikiwa hizi ndio siasa za siku hizi duniani, kazi ipo kweli.

Sasa Suzan aseme kapata mimba ngapi za Mbowe kwa muda wote huo wa Umalaya wake na ikiwa hao watoto aliomzalia mumewe ni watoto wa Mbowe kwa miaka 5?
Watu wa namna hii wanania ya kuvunja nyumba ya Muh. Mbowe na kumvunjia adabu kwa familia yake kwa kumsema baba yao ni Malaya hadharani. Aidha inaweza kuwacost ndoa zao pia, kwani kama mii ndio Mke wangu Suzan itabidi tuekane pembeni kuambiana kwa kina,Ilikuwaje miaka yote hiyo kunificha siri hiyi kumbe naibiwa?

Watu wa Sheri hii imekaaje ?
 
Vp makene nae atamfata wife au??

Its not over until its over...
 
Chadema hakuna kuumiza vichwa, wamenunuliwa hao kwa pesa au uongozi tu mtu hawezi kuondoka chadema kwa vyovyote hiki chama kilianza na mungu na kumaliza na mungu yaani chama chenyewe kilianzishwa binguni. Yaani kivipi yaani.
 
Namsifu Mbowe, ni dume, kawapiga miti wabunge wote wanao hama!
 
Namsifu Mbowe, ni dume, kawapiga miti wabunge wote wanao hama!
Ikiwa faida yenyewe ndo hiyo kusaliti chama, bora alivyowavua chupi angalau kupunguza machungu,
Shenzi typ ,watu wanlala jelakwa ajili ya chama na nchi wao wanleta ujinga ,wakati wamesha kula mamilioni ya watanznia pale Bungeni kwa jina la CHDM.
Kama Kuna ingelikuwa inaruhusiwa kuwachapa bakora ,mimi nashauri wachapwe mboko zaidi na zaidi ,tena Mande Hadharani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…