Wamekataa udikteta wa mbowe,ukatwe 30% ya mshahara kila mwezi halafu mtu fulani tu akatumbue hiyo hela ng'ambo.Utakuwa na akili timamu?Bora wasepe tu na hao waliobaki wamebaki kufanya nini?Ngoja jumba bovu liwaangukia October 2020 siyo mbali na ndio utakuwa mwisho wa siasa za kilaghai.
Naikitokea uchaguzi kusogezwa mbele ndiyo pale unapoambiwa zakuambiwa changanya zako
Mwaka huu Mbatia ashindwe mwenyewe, maana kete kazipanga vizuri. Isitoshe dola iko nyumba yake.Kwikwiii, huwezi jua Ni mipango...mbatia ajipange duh
Sasa mbona unataka kulia?Kama kuungua nyumba ya cdm haikuanza leo, labda mtu mjinga tu ndiyo anaweza kuona kuwa yanayo tokea hii leo ni mapya kisiasa hasa kipindi cha kuelekea uchaguzi.
Kama mwenyekiti wa ccm alitangaza wazi wazi kuwa atahakikisha upinzani unakufa kabla ya mwaka 2020 wewe kajamba nani unashangaa kitu gani?
In God we Trust
Mwaka huu Mbatia ashindwe mwenyewe, maana kete kazipanga vizuri. Isitoshe dola iko nyumba yake.
. Si Uwongo hakosi wabunge watano, kwa huruma ya chama tawala.
Sasa mbona unataka kulia?
Umepaniki?Siasa sikuzianza juzi, wanalia wasiyo ijua siasa
In God we Trust
Huo ndiyo ukweli ambao kwa wale waabudu malaika kamwe hawataki kuusikia hata kidogo maana unawavua nguoKwa chaguzi feki zinazoendelea sasa ni wazi anayetaka ubunge lazima ategemee hisani ya mungu mtu wa ccm. NCCR share yao wameshahakikishiwa kwa hiyo ni wazi wanaotaka uhakika wa kupata japo viti maalum ni ama waende ccm au waende NCCR ambao tayari wameshahaidiwa share yao.Kwa kifupi wananchi wataenda kupoteza muda kwenye kupiga kura.
Kwa hiyo huyo Makene naye alimpitia huyo mama ndio akapata ubunge!!?? Upinzani ktk nchi hii bado kuna safari ndefu. Hizi tuhuma na kukurupuka za kusajili wasaliti ndio zinaharibu chama. Itachukua miaka mingi sana kwa upinzani TZ kuimarika kama wataendelea kufanya upuuzi huu unaoendelea..Wabunge Joyce Sokombi na Sussane Masele (CHADEMA-VITI MAALUM) wametangaza kuhama CHADEMA na kujiunga na Chama cha NCCR-Mageuzi mara baada ya kuhitimishwa kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sussane Masele ni mke wa ndoa wa Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa CHADEMA anayeitwa Tumaini Makene
=====
Wabunge Suzana Maselle (Mwanza) na Joyce Sokombi (Mara) wametangaza kuondoka CHADEMA mara baada ya kumaliza kipindi chao cha Ubunge, Juni mwaka huu
Wamesema, uamuzi wao wa kuondoka CHADEMA umetokana na chama hicho kutawaliwa na ubinafsi, matumizi mabaya ya rasimali za chama na ubabe wa kiongozi Mkuu wa chama hicho
Wamedai kuwa, “hali hii imekuwa mbaya zaidi baada ya Esther Bulaya, kuteuliwa kuwa Mnadhimu Mkuu wa Kambi yetu na kujipa mamlaka yaliyopitiliza
Maselle amesema “Kabla ya hapo, palikuwepo na kafursa kakuulizwa na kujipendekeza. Wakati huu, ni amri tu. Kwa kifupi, maamuzi mengi ni ya kibabe na yenye kudharau watu wengine na kwa bahati mbaya Kiongozi Mkuu wa chama na ambaye pia ni KUB haonyeshi kuchukua hatua kurekebisha hali hii"
Kuhusu suala la kutoingia Bungeni, wabunge hao wawili wamesema, “suala la kutoingia Bungeni kwa siku 14 lilianzishwa na Esther Bulaya, ambaye kwa sasa inawezekana ndiye Mshauri Mkuu wa Freeman Mbowe kwa mambo ya chama na Bunge"
Wameeleza “Kwamba, mheshimiwa Bulaya ndiye aliyeanza kutoa maelekezo kwa Wabunge kuwa wasiingie Bungeni kwa siku 14, lakini Wabunge wakahoji mamlaka ya kufanya hivyo ameyatoa wapi?
Aidha, “Baadhi ya Wabunge akiwamo wale waandamizi kabisa, wakataka kiitishwe kikao cha Kambi ya Upinzani ili tuweze kujadili jambo hilo kwa mapana kwa kuweka bayana hasara na faida zake”
Amesema, sisi Wabunge wa Chadema tulikuwa tunachanga Tsh. 1,560,000 kwa Wabunge wa Viti Maalum kila mmoja na Sh. 520,000 kwa Mbunge wa jimbo kila mwezi
“Hapa hoja siyo kuchanga, kwanza ni takwa la kikatiba, hoja ni jinsi fedha hizo za michango ambayo tuliambiwa zitatumika kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao, jinsi zilivyotumika nje ya mipango iliyokusudiwa, na bila idhini ya vikao vyenye mamlaka hiyo"
View attachment 1456596
Sasa wanahubiri vitu ambavyo hawawezi tekeleza full upendeleo na lengo la viti maalumu ilikuwa kuwawezesha wanawake after a term waende majimboni Sasa wao wanagawana kisa ngono, wanawake wenyewe viti maalumu ni vilaza ka hao wa CDM Kama mashangingi flani hafu empty set. Hivi viti maalumu waangaliwe wenye uwezo wengine hata kutoa hoja huwa hawajui kabisa.Wakati Zitto yuko CDM, marehemu mama yake alipewa viti maalum, Marehemu dada yake Tundu Lissu pia alipewa viti maalum 2015, kuna yule demu nyumba ndogo wa Mbowe aliyemzalia watoto wawili naye yumo viti maalum, etc etc etc.
Viti vyao maalum huwa wanavgezo vyao private vya kuvitoa.
Kwa nafasi ya Mdee, hata Bulaya atapewa viti maalum 2020 asipotoboa Bunda.
Upendeleo tu hawaangalii hata conflict of interests, CDM wamenisikitisha wanawake wenyewe hawana shukraniNa kugawana keki ya Taifa nakupunguza umsakini.
Mume mbunge, mke mbunge ...aiseeee ..
Kwan hamna akina mama wachadema walio vzur kichwan??
Sent using Jamii Forums mobile app
HAWA NI WAKE ZA WATU, mmoja ni mke wa MAKENI, sasa sisi ma-JAJI tuwajuze tu, Jinai haifi, " Tunawaomba waende mara moja dawati la jinsia waseme walimpa lini MBOWE papuchi kama rushwa ili wateuliwe hivyo viti maalum!Wabunge Joyce Sokombi na Sussane Masele (CHADEMA-VITI MAALUM) wametangaza kuhama CHADEMA na kujiunga na Chama cha NCCR-Mageuzi mara baada ya kuhitimishwa kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sussane Masele ni mke wa ndoa wa Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa CHADEMA anayeitwa Tumaini Makene
=====
Wabunge Suzana Maselle (Mwanza) na Joyce Sokombi (Mara) wametangaza kuondoka CHADEMA mara baada ya kumaliza kipindi chao cha Ubunge, Juni mwaka huu
Wamesema, uamuzi wao wa kuondoka CHADEMA umetokana na chama hicho kutawaliwa na ubinafsi, matumizi mabaya ya rasimali za chama na ubabe wa kiongozi Mkuu wa chama hicho
Wamedai kuwa, “hali hii imekuwa mbaya zaidi baada ya Esther Bulaya, kuteuliwa kuwa Mnadhimu Mkuu wa Kambi yetu na kujipa mamlaka yaliyopitiliza
Maselle amesema “Kabla ya hapo, palikuwepo na kafursa kakuulizwa na kujipendekeza. Wakati huu, ni amri tu. Kwa kifupi, maamuzi mengi ni ya kibabe na yenye kudharau watu wengine na kwa bahati mbaya Kiongozi Mkuu wa chama na ambaye pia ni KUB haonyeshi kuchukua hatua kurekebisha hali hii"
Kuhusu suala la kutoingia Bungeni, wabunge hao wawili wamesema, “suala la kutoingia Bungeni kwa siku 14 lilianzishwa na Esther Bulaya, ambaye kwa sasa inawezekana ndiye Mshauri Mkuu wa Freeman Mbowe kwa mambo ya chama na Bunge"
Wameeleza “Kwamba, mheshimiwa Bulaya ndiye aliyeanza kutoa maelekezo kwa Wabunge kuwa wasiingie Bungeni kwa siku 14, lakini Wabunge wakahoji mamlaka ya kufanya hivyo ameyatoa wapi?
Aidha, “Baadhi ya Wabunge akiwamo wale waandamizi kabisa, wakataka kiitishwe kikao cha Kambi ya Upinzani ili tuweze kujadili jambo hilo kwa mapana kwa kuweka bayana hasara na faida zake”
Amesema, sisi Wabunge wa Chadema tulikuwa tunachanga Tsh. 1,560,000 kwa Wabunge wa Viti Maalum kila mmoja na Sh. 520,000 kwa Mbunge wa jimbo kila mwezi
“Hapa hoja siyo kuchanga, kwanza ni takwa la kikatiba, hoja ni jinsi fedha hizo za michango ambayo tuliambiwa zitatumika kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao, jinsi zilivyotumika nje ya mipango iliyokusudiwa, na bila idhini ya vikao vyenye mamlaka hiyo"
View attachment 1456596
Huyu mwanamke kapigwa miti miaka 5 kaufyata kimyaaa anafaudu tunda ,leo kumekucha tena ndio anatowa siri ya chumbani, huu ni ujinga wa kutupwa ,Mkuu sio majungu,nimemsikiliza suzani,anasema kachoka kuombwa rushwa ya ngono na mwenyekiti wa chama
Sasa Mimi najiuliza hivi kweli sisi kama wananchi tutaiamini vipi CHADEMA hadi kuipa nchi ikiwa mwenyekiti tu anatumia nafasi yake kuwa piga miti wanachama huyu akipewa nchi atapiga miti raia wote,hafai hata kwa bure
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp makene nae atamfata wife au??Wabunge Joyce Sokombi na Sussane Masele (CHADEMA-VITI MAALUM) wametangaza kuhama CHADEMA na kujiunga na Chama cha NCCR-Mageuzi mara baada ya kuhitimishwa kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sussane Masele ni mke wa ndoa wa Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa CHADEMA anayeitwa Tumaini Makene
=====
Wabunge Suzana Maselle (Mwanza) na Joyce Sokombi (Mara) wametangaza kuondoka CHADEMA mara baada ya kumaliza kipindi chao cha Ubunge, Juni mwaka huu
Wamesema, uamuzi wao wa kuondoka CHADEMA umetokana na chama hicho kutawaliwa na ubinafsi, matumizi mabaya ya rasimali za chama na ubabe wa kiongozi Mkuu wa chama hicho
Wamedai kuwa, “hali hii imekuwa mbaya zaidi baada ya Esther Bulaya, kuteuliwa kuwa Mnadhimu Mkuu wa Kambi yetu na kujipa mamlaka yaliyopitiliza
Maselle amesema “Kabla ya hapo, palikuwepo na kafursa kakuulizwa na kujipendekeza. Wakati huu, ni amri tu. Kwa kifupi, maamuzi mengi ni ya kibabe na yenye kudharau watu wengine na kwa bahati mbaya Kiongozi Mkuu wa chama na ambaye pia ni KUB haonyeshi kuchukua hatua kurekebisha hali hii"
Kuhusu suala la kutoingia Bungeni, wabunge hao wawili wamesema, “suala la kutoingia Bungeni kwa siku 14 lilianzishwa na Esther Bulaya, ambaye kwa sasa inawezekana ndiye Mshauri Mkuu wa Freeman Mbowe kwa mambo ya chama na Bunge"
Wameeleza “Kwamba, mheshimiwa Bulaya ndiye aliyeanza kutoa maelekezo kwa Wabunge kuwa wasiingie Bungeni kwa siku 14, lakini Wabunge wakahoji mamlaka ya kufanya hivyo ameyatoa wapi?
Aidha, “Baadhi ya Wabunge akiwamo wale waandamizi kabisa, wakataka kiitishwe kikao cha Kambi ya Upinzani ili tuweze kujadili jambo hilo kwa mapana kwa kuweka bayana hasara na faida zake”
Amesema, sisi Wabunge wa Chadema tulikuwa tunachanga Tsh. 1,560,000 kwa Wabunge wa Viti Maalum kila mmoja na Sh. 520,000 kwa Mbunge wa jimbo kila mwezi
“Hapa hoja siyo kuchanga, kwanza ni takwa la kikatiba, hoja ni jinsi fedha hizo za michango ambayo tuliambiwa zitatumika kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao, jinsi zilivyotumika nje ya mipango iliyokusudiwa, na bila idhini ya vikao vyenye mamlaka hiyo"
View attachment 1456596
Namsifu Mbowe, ni dume, kawapiga miti wabunge wote wanao hama!Huyu mwanamke kapigwa miti miaka 5 kaufyata kimyaaa anafaudu tunda ,leo kumekucha tena ndio anatowa siri ya chumbani, huu ni ujinga wa kutupwa ,
kama
Kule Marekani Kuna Kahaba mmoja vilevile anadai mgombea wa democrat dhidi ya Trump kuwa alimnyanyasa kingono miaka mingi iliyopita tangu wangali vijana,
Leo lile limama lisha zeeka ,ndio linatowa madai hayo.
Sasa Ikiwa hizi ndio siasa za siku hizi duniani, kazi ipo kweli.
Sasa Suzan aseme kapata mimba ngapi za Mbowe kwa muda wote huo wa Umalaya wake na ikiwa hao watoto aliomzalia mumewe ni watoto wa Mbowe kwa miaka 5?
Watu wa namna hii wanania ya kuvunja nyumba ya Muh. Mbowe na kumvunjia adabu kwa familia yake kwa kumsema baba yao ni Malaya hadharani. Aidha inaweza kuwacost ndoa zao pia, kwani kama mii ndio Mke wangu Suzan itabidi tuekane pembeni kuambiana kwa kina,Ilikuwaje miaka yote hiyo kunificha siri hiyi kumbe naibiwa?
Watu wa Sheri hii imekaaje ?
Ikiwa faida yenyewe ndo hiyo kusaliti chama, bora alivyowavua chupi angalau kupunguza machungu,Namsifu Mbowe, ni dume, kawapiga miti wabunge wote wanao hama!
Kabisa. Die hard with vengeance