Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Hilo jumba bovu halianguki tu sasa ni zaidi ya miaka 20 +, kila siku mnaimba taarabu hizo hizo?
In God we Trust
Wamekataa udikteta wa mbowe,ukatwe 30% ya mshahara kila mwezi halafu mtu fulani tu akatumbue hiyo hela ng'ambo.Utakuwa na akili timamu?Bora wasepe tu na hao waliobaki wamebaki kufanya nini?Ngoja jumba bovu liwaangukia October 2020 siyo mbali na ndio utakuwa mwisho wa siasa za kilaghai.
In God we Trust