<br />nashangaa huyu jamaa sijui kwa nini wamempa ubunge! <br />
<br />
kuna mweny CV yake..?
<br />Amepona kwanza!maana inasemekana yu mgonjwa sana
mkuu kwa sababu wao ni wapinzani haihitaji akili ya chuo kikuu kujua. kwani kwa vyovyote vile hakuna wanachoweza kuunga mkono kiwe na tija au kisiwe na tija, so long ni waupinzani. hoja yangu hapa sio viti maalum tu vya ccm havina tija bali hata vya chadema na CUF. Period.Uliwahi kuwaona wakichapa usingizi na kuunga mkono hoja hata mambo ya kihuni ?
mkuu kwa sababu wao ni wapinzani haihitaji akili ya chuo kikuu kujua. kwani kwa vyovyote vile hakuna wanachoweza kuunga mkono kiwe na tija au kisiwe na tija, so long ni waupinzani. hoja yangu hapa sio viti maalum tu vya ccm havina tija bali hata vya chadema na CUF. Period.
Who is this ?1. Edward Lowassa
2. Shibudha
3. Dr Kingwangwala
4. Iddi Azzan
5. Azzan Zungu
6. Wasira
7. John Komba
8. William Lukuvi
9. Lusinde
10. Augustino Lyatonga Mrema
11. Job Ndugai
12. Viti maalum wote wa CCM, CDM, CUF, TLP, NCCR-Mageuzi ...
13. Chibulunje
14. PakaChawene
15. Eng Stella Manyanya
16. Nchimbi
17. Wabunge wote wa CCM toka Singida
18. Wabunge wote wa CCM toka Kagera, Moshi Arusha na Songea
19. Nyambari Nyangwine
waongezee wengine
Samwel Sitta
Shibudha
Dr Kingwangwala
Deo fulunjombe
Wasira
Komba
Lukuvi
Lusinde
Mrema
Job Ndugai
Viti maalum wote wa CCM
Chibulunje
Wabunge wote wa CCM toka Singida
Nyambari Nyangwine
waongezee wengine
Injinia Stella Manyanya
Anne Makinda
Chiligati
Nkamia
Yule m/kiti wa bunge aliyemtimua Wenje..
Jenista Mhagama
Deo sanga
Omari Nundu
Hawa Ghasia
MBUNGE WA JIMBO LA MTAMA........MEMBE
who is this ?
Topic za kudiscuss zimeisha kweli?
ngoja nitafute moja nilete