Elections 2010 Wabunge wasiotakiwa kurudi bungeni 2015

wale akina christine lissu, mke wa slaa (rose kamili), watoto na wakwe wa ndesamburo na mademu zake akina mbowe ndo unawaona wamaana sana siyo.

Uliwahi kuwaona wakichapa usingizi na kuunga mkono hoja hata mambo ya kihuni ?
 
Topic za kudiscuss zimeisha kweli?
ngoja nitafute moja nilete
Mkuu haya mabo ya ajabu yaani sredi zingine bana FULL CRAP na ndiomaana wakongwe wanakimbia kwa pumba kama hizi

Futa viti maalumu vyote...., Punguza majimbo, tunahitaji wabunge si zaidi ya mia moja..., hapo hata wakiendelea kufuja pesa zetu kwa maposho hatutaumia sana :(
Thanx mkuu walau umejibu ki great thinker
 
Natumai hapa tunajaribu kujifaji na impossibilities.
Ila kama ni jambo la kutolea maoni mimi binafsi sioni logic ya wabunge viti maalum.

Ni kweli ndani ya hivi viti maalumu kuna wapambanaji walioonyesha dhahiri uwezo wao na nia ya dhati ya kutetea maslahi ya Taifa na raia zake. Hao ndio nafikiri wangefikiriwa na vyama vyao kuachiwa majimbo wanakotoka wasimame kama wagombea.

Ama katika mabadiliko ya katiba, napendekeza nafasi ya wabunge wa kuteuliwa kwa chama kitakachoongoza ziwe ni 20 na kambi ya upizani viti 10. Hizi nafasi zote ziwe ni kwa wanawake tu, ili kuweza kuwarudisha wale kina mama wa shoka bungeni.
.
 
Abdul mteketa
Hadji mponda
Selina kombani
Amosi makala
Mustafa mkulo
Abood.
 
unapoanzisha hoja lazima uweke na vielelezo kwanini wasirudi acha kutaja watu kama tupo mtaani
 
Joseph Mbilinyi, Esther Matiku, Wenje, Saturnbless Lema, Mchungaji wa Iringa..........................

Huwezi kuwa Mwita **** wewe......................,Kwanza hujiamini,huyo saturnBless Lema ni mbunge kwenye bunge la familia yenu ambako bibi nyako ni spika sio?
 
Nafikiri zoezi la kupata wabunge makini na wapiganaji lazima liendane na utafiti wa angalau miaka miwili kabla ya uchaguzi mkuu

Tuachane na mfumo wa mtu yeyeote kujitokeza kugombea wakati hana uwezo uliotukuka wa kuwa mwakilishi mzuri

Vyama vyote vifanye utafiti na kubaini wale ambao wataweza kuwakililisha vizuri sehemu zao,wale ambao wataonekana wanafaa washawishiwe kugombea hata kama hawatataka kujitokeza

Penye msafara wa mamba hapakosi kenge,lakini naamini utaratibu huu utapunguza wabunge dhaifu kuwepo mjengoni kama ambavyo watoa hoja ameorodhesha hapo juu
 
Msamehe bure huyo ngwendu maana hata hapa inaonekana amelala kama wabunge wake Magamba....so hajui hoja gani iko hapa

Hawa watetezi wabunge wanaosinzia bungeni na watetezi wa serikali, akili zao zilipitia shule za kata. Pole sana.
 
Back
Top Bottom