nitawashangaa sana wananchi wa Kigoma kama watakubali kuburuzwa na zito kiasi hiki.
acha kuweweseka wewe, kigoma hawaburuzwi bali wanaamua na si kwa kufuata mkumbo tu kibubusa
nitawashangaa sana wananchi wa Kigoma kama watakubali kuburuzwa na zito kiasi hiki.
jamaa ameshaifanya Kigoma ni mali yake, anachotaka yeye lazima wananchi wafuate!! huu ni utumwa mamboleo.nitawashangaa sana wananchi wa Kigoma kama watakubali kuburuzwa na zito kiasi hiki.
Mjifunze kuwa mnasoma katibaBunge si limeshavunjwaa? So hakuna mbunge tena hapo..wote ni watu wa kawaida...labda mngesema waliokuwa wabunge fulani...hapo tungewaelewa
acha kuweweseka wewe, kigoma hawaburuzwi bali wanaamua na si kwa kufuata mkumbo tu kibubusa
Kafulila na Machali jiungeni ACT kwani ninyi ni wazalendo wa kweli achaneni na huo usanii wa ukawa hawana lolote wasiwaingize ktk kapu la wasaka tonge utendaji wenu tunaujua
... Kafulila Na Mkosamali Hawana Mpango Wa Kuhama
mi napenda kuwaambieni kuwa hicho chama cha ACT hikitafika mbali maana wote wanaoenda huko wanategemea kupata uongozi sasa kama wakikosa ndo ugovi utakapoanza mi nawaambieeni tena hawatafika mbali. ukiwa mroho wa madalaka hutafika mbali.Kwa mujibu wa Naibu Katibu mkuu wa ACT- Wazalendo akiongea na Clouds Fm Amesema wabunge hao hatawataja kwa majina mpaka watakapopokelewa katika majimbo yao.
Pia Naibu Katibu mkuu huyo amesema Kuhusu Moses Machali aliyekuwa mbunge NCCR mageuzi tayari amejiunga rasmi na chama hicho.
nitawashangaa sana wananchi wa Kigoma kama watakubali kuburuzwa na zito kiasi hiki.
Hana chake Kasulu safari hii,hata ahamie REPUBLICANMosesi machali ni mnafiki sana,yeye ndie aliyesababisha kafulila kugombana na chama chake kabla ya kufikia makubaliano,lkn leo anahasi chama?kweli henreko nyerere alisema kitu na nanukuu kuna bilion 150 zimetengwa kwa nia kuvunja baadhi ya vyama
Hawa ACT wawaache tu, sisi tuko busy kugombea nafasi ya urais tu, mbowe kishatuzunguka kavuta mpunga kwa lowassa amuuzie chama, kweli siasa za kibongo hazina maana kabisa
Ukiona mtu kahamia ACT ujue keshachoka na siasa anatafuta tu kizingizio cha kupotea kwenye ramani
jamaa ameshaifanya Kigoma ni mali yake, anachotaka yeye lazima wananchi wafuate!! huu ni utumwa mamboleo.