kamanda uwanja wowote anapigana vitaNjoo na uhakika wa Habari yako. Nani kakwambia Kafulila na Mkosamali watakikimbia ka li Machali? Hao ni makamanda halisi
Naambiwa chadema mnafanya maamuzi magumi ya kurudia matapishiyenu kwa kupokea mafisadi-nguli baada ya CCM kufanya maamuzi sahihi ya kurudishia chama heshma yake
zzk namkubali sana habahatishi huyu ndo nitampigia kura 2020,rais wa kwanza kutoka upinzani kaa mbali wewe
Definetly! Kumuondoa zitto was suicidal! Cdm is no more. more to happen come October finale!
Wakati Chama Cha Democrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikivuna maelfu ya wanachama wa chama tawala CCM, uku hali siyo shwari ndani ya NCCR - MAGEUZI chama ambacho kinaunda muungano wa UKAWA. Ni jana tu aliyekuwa mbunge wa Kasulu mjini Moses Machali na Naibu katibu mkuu bara pamoja na aliyekuwa M/kiti wa Vijana Taifa Deo Meck walijiunga na ACT. Leo imesemekana kuwa vigogo wengine wa chama hicho watakiama na kutimkia ACT vigogo hao ni mbunge wa Kigoma kusini David Kafulila, Mkosamali Mbunge wa Muhambwe na Nicolas Clinton M/kiti wa vijana jimbo la Nyamagana Mwanza.
Kama Nyumbu wa Tarangire
Kafulila akiamia ACT nitamdharau sana.
Bunge limevunjwa hao no RAIA Wa kawaida tu
yasemekana..
LOWASA ANAKARIBIA KUSIMIKWA UGOMBEA URAIS UKAWA.
Kwa mujibu wa Naibu Katibu mkuu wa ACT- Wazalendo akiongea na Clouds Fm Amesema wabunge hao hatawataja kwa majina mpaka watakapopokelewa katika majimbo yao.
Pia Naibu Katibu mkuu huyo amesema Kuhusu Moses Machali aliyekuwa mbunge NCCR mageuzi tayari amejiunga rasmi na chama hicho.