TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau,
Naona kuna vugu vugu sasa wabunge kutaka kuongezewa mshahara maana hauwatoshi, binafsi nadhani wana hoja ya msingi ni vyema wakasikilizwa.
Wengi tulikuwa tunajua wabunge wanalipwa pesa nyingi sana kutokana na kazi kubwa wanazozifanya lakini nilipofuatilia kiasi anacholipwa mbunge ni kiduchu sana almost 12M pm ni ndogo sana,na bado wakifika majimboni tunawapiga vizinga mpaka inaboa.
Kama wapo wanaosikilizwa kupanda madaraja basi na wabunge tunaomba pia wasikilizwe kama bajeti inaruhusu waongezewe mishahara kazi yao ya uwakilishi majimboni ni ngumu sana.
Naona kuna vugu vugu sasa wabunge kutaka kuongezewa mshahara maana hauwatoshi, binafsi nadhani wana hoja ya msingi ni vyema wakasikilizwa.
Wengi tulikuwa tunajua wabunge wanalipwa pesa nyingi sana kutokana na kazi kubwa wanazozifanya lakini nilipofuatilia kiasi anacholipwa mbunge ni kiduchu sana almost 12M pm ni ndogo sana,na bado wakifika majimboni tunawapiga vizinga mpaka inaboa.
Kama wapo wanaosikilizwa kupanda madaraja basi na wabunge tunaomba pia wasikilizwe kama bajeti inaruhusu waongezewe mishahara kazi yao ya uwakilishi majimboni ni ngumu sana.