Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,382
Naomba ili kuondoa mkanganyiko katika jamvi letu,tujaribu katika post hii kuweka majina ya WALIOKWISHA TANAGZWA NA TUME(wakurugenzi ) ili kuondoa utatamimi naanza1.Vicent Nyerere-Musoma Mjini(CHADEMA)2.Peter Msigwa-Iringa Mjini(CHADEMA)3----------------Tuendelee kwa mfumo huu