Mastabenja
Member
- Mar 23, 2012
- 25
- 6
Binafsi nafurahia sana kazi inayofanywa na wapinzani bungeni_mabadiliko mengi ya msingi ktk nchi yameletwa kutokana na michango yao makini na mashinikizo yao.lakini naona kuna wakati wanakurupuka na kulopoka tu ktk baadhi ya maeneo .na wabunge wa ccm wakipangua hoja unakuta ina mashiko na inakuja kuonekana mbunge wa upinzani ameongea kwa msisimko na amekulupuka.jamani wapinzani kuweni makini mrikulupuke na kuropoka tu tunawategemea sana