Kwani wabunge wa Tz wana haki ya kuingilia mipango ya Kenya? Iwapo tutanufaika pamoja nao hao wakenya watakapokuja watalii kwao. Tukumbuke kuwa tuna vivutio vingi zaidi upande wa kwetu kuliko huko Kenya.
Hata mlima Kilimanjaro uko kwetu ila isishangae kusikia kuwa unawafaidisha sana wao (Uwanja wa ndege wanakoshukia na kuondokea, hoteli wanakolala, "tour operators wanaowatumia n.k.)